Mkombozi Benki kusomesha yatima
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Mkombozi nchini imesema kuwa mchango wa kifedha wanazopata katika shughuli za kijamii umekuwa wakimafanikio makubwa hasa kupitia uwekezaji wa sekta ya elimu Nchini, kwani hali hiyo inachangia kwa kasi maendeleo ya Taifa kwa kuwa na wataalamu wa Nyanja mbalimbali wenye uwezo mkubwa.
Taasisi za kifeda kama mabenki wamekuwa ni wadau wakubwa wa mchango huo, hivi ...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUSOMESHA YATIMA 12
Hayo aliyabainisha Dar es Salaam jana wakati Kampuni ya Simu za mkononi Zantel ikikabidhi kisima cha maji safi katika kituo cha kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka jijini Dar es Salaam.
Watoto hao 12, ambapo 8 kati yao wana elimu ngazi ya sekondari huku 3 wakitakiwa...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mkombozi Benki: Hatuhusiki kutakatisha fedha
Benki ya Biashara ya Mkombozi imesema, haihusiki na utakatishaji fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Hisa za Benki ya Mkombozi zapaa sokoni DSE
Benki ya Biashara ya Mkombozi imejiorodhesha kwa mara ya kwanza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) na kupokewa vizuri licha ya kuzungukwa na wingu zito la sakata la ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jjVWPotZCxQ/VHrIcLwchnI/AAAAAAAG0Uk/Cf4BpMvO_iM/s72-c/Mkombozi%2BLogo.jpg)
Taarifa ya benki ya biashara ya Mkombozi juu ya sakata la Escrow
![](http://4.bp.blogspot.com/-jjVWPotZCxQ/VHrIcLwchnI/AAAAAAAG0Uk/Cf4BpMvO_iM/s1600/Mkombozi%2BLogo.jpg)
Utangulizi
Taarifa hii inatolewa kwa umma kutokana na ripoti mbalimbali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari mitandao ya kijamii na taarifa iliyotolewa kwenye mjadala katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
1. Ufunguzi wa akaunti ya VIP engineering
and Marketing (VIP)
Kampuni ya VIP engineering and Marketing ni kampuni ambayo imesajiliwa kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Kampuni hii ilifungua akaunti katika benki ya biashara ya Mkombozi na hivyo kuwa moja kati ya wateja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TZf11L4pLwA/U_-yMGedIOI/AAAAAAABAdQ/7StlrFRkqGs/s72-c/1.jpg)
MKOMBOZI BENKI YASHEREKEA KUTIMIZA MIAKA 5 TOKEA IMEANZISHWA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-TZf11L4pLwA/U_-yMGedIOI/AAAAAAABAdQ/7StlrFRkqGs/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9NgNkZ9rg-A/U_-yUWxO3bI/AAAAAAABAd4/_Pfulcb17rQ/s1600/3b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t4bC2vtU_p0/U_-yL1fe3CI/AAAAAAABAdc/Jl9FxEt8mzo/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqyBA53vkGI/U_-yMqNOQHI/AAAAAAABAdU/hJiQpBTJBiQ/s1600/2a.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA MKOMBOZI YATANGAZA MAUZO YA AWALI YA HISA ZAKE,YAWAOMBA WATANZANIA WAJITOKEZE KUZINUNUA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iPi2gSL8ffY/Uu4eGNfl7HI/AAAAAAAFKQw/oQshwggiR7I/s72-c/unnamed+(11).jpg)
WAZAZI WAKUMBUKENI WATOTO YATIMA-NBC BENKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iPi2gSL8ffY/Uu4eGNfl7HI/AAAAAAAFKQw/oQshwggiR7I/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljydyVVrMkgB9h*Tc-DXwVfXBm8MXocgqDwl4hjCapQcFNMfrWMNpemtSrPacC332lycrwHfgdGuYKF-UqyFsk*k/cbapix1.jpg?width=650)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA CBA WASHEREHEKEA PASAKA NA WATOTO YATIMA
Msimamizi wa Kituo cha Watoto Yatima cha Msimbazi Centre kilichopo jijini Dar es Salaam, Sister Anna Marandu (kulia) akipokea msaada wa chakula na vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaolelewa kituoni hapo kutoka kwa Meneja wa benki ya CBA tawi la barabara ya Nyerere, Nuru Mwangulangu wakati wafanyakazi wa benki hiyo walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali na kucheza na watoto leo ikiwa ni moja ya shamrashamra...
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yawapiga jeki vijana na kuwakumbuka yatima
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania