Mkombozi Benki: Hatuhusiki kutakatisha fedha
Benki ya Biashara ya Mkombozi imesema, haihusiki na utakatishaji fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Kutakatisha fedha ni haramu
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mkombozi Benki kusomesha yatima
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Mkombozi nchini imesema kuwa mchango wa kifedha wanazopata katika shughuli za kijamii umekuwa wakimafanikio makubwa hasa kupitia uwekezaji wa sekta ya elimu Nchini, kwani hali hiyo inachangia kwa kasi maendeleo ya Taifa kwa kuwa na wataalamu wa Nyanja mbalimbali wenye uwezo mkubwa.
Taasisi za kifeda kama mabenki wamekuwa ni wadau wakubwa wa mchango huo, hivi ...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Hisa za Benki ya Mkombozi zapaa sokoni DSE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jjVWPotZCxQ/VHrIcLwchnI/AAAAAAAG0Uk/Cf4BpMvO_iM/s72-c/Mkombozi%2BLogo.jpg)
Taarifa ya benki ya biashara ya Mkombozi juu ya sakata la Escrow
![](http://4.bp.blogspot.com/-jjVWPotZCxQ/VHrIcLwchnI/AAAAAAAG0Uk/Cf4BpMvO_iM/s1600/Mkombozi%2BLogo.jpg)
Utangulizi
Taarifa hii inatolewa kwa umma kutokana na ripoti mbalimbali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari mitandao ya kijamii na taarifa iliyotolewa kwenye mjadala katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
1. Ufunguzi wa akaunti ya VIP engineering
and Marketing (VIP)
Kampuni ya VIP engineering and Marketing ni kampuni ambayo imesajiliwa kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Kampuni hii ilifungua akaunti katika benki ya biashara ya Mkombozi na hivyo kuwa moja kati ya wateja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TZf11L4pLwA/U_-yMGedIOI/AAAAAAABAdQ/7StlrFRkqGs/s72-c/1.jpg)
MKOMBOZI BENKI YASHEREKEA KUTIMIZA MIAKA 5 TOKEA IMEANZISHWA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-TZf11L4pLwA/U_-yMGedIOI/AAAAAAABAdQ/7StlrFRkqGs/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9NgNkZ9rg-A/U_-yUWxO3bI/AAAAAAABAd4/_Pfulcb17rQ/s1600/3b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t4bC2vtU_p0/U_-yL1fe3CI/AAAAAAABAdc/Jl9FxEt8mzo/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqyBA53vkGI/U_-yMqNOQHI/AAAAAAABAdU/hJiQpBTJBiQ/s1600/2a.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA MKOMBOZI YATANGAZA MAUZO YA AWALI YA HISA ZAKE,YAWAOMBA WATANZANIA WAJITOKEZE KUZINUNUA
10 years ago
Mwananchi14 Sep
‘Hatuhusiki na waraka unaopinga rasimu’
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Exim: Wekeni fedha benki
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Awataka kutumia benki kuhifadhi fedha