Awataka kutumia benki kuhifadhi fedha
Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kuhifadhi fedha nyumbani kwa kuwa njia hiyo si salama, badala yake watumie benki ili kujiongezea faida na kukuza mitaji ya biashara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kRf2v75j8PM/XkzzHKYjJ1I/AAAAAAALePw/1OlUdneqF84AVMkTtkJ_xX6RrftzjejlACLcBGAsYHQ/s72-c/1-36.jpg)
SIMA AWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUHIFADHI MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kRf2v75j8PM/XkzzHKYjJ1I/AAAAAAALePw/1OlUdneqF84AVMkTtkJ_xX6RrftzjejlACLcBGAsYHQ/s640/1-36.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-32.jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima (wa tatu kulia mwenye Kaunda suti) akipata maelezo kuhusu mchakato...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Tiper kutumia Sh19 bil. kuhifadhi mafuta
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Watakiwa kuacha kuhifadhi fedha majumbani
BODI ya Bima ya Amana imewataka wananchi kujenga utamaduni na kuendelea kuweka fedha benki, kwani ni njia salama na ina faida kiuchumi kwao na kwa nchi. Akizungumza na waandishi wa...
5 years ago
MichuziMWAKALINGA AWATAKA MAKANDARASI KUTUMIA TAARIFA ZA TMA
Mkandarasi kutoka kampuni ya China Wu Yi, Mhandisi David Kipiki, akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga (WaTatu Kulia), alipokuwa akikagua Daraja la Mto Koga, mkoani Katavi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mshauri wa Kampuni ya Igis anayesimamia mradi wa ujenzi wa barabara ya Tabora - Koga -...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Vanessa awataka wasanii kutumia falsafa ya ‘hapa kazi tu’
NA MWANDISHI WETU
MSANII Vanessa Mdee ambaye ni mmoja wa wanamuziki wanaoshiriki onyesho la Coke Studio linaloendelea, amewaasa wanamuziki wa Tanzania kufanya kazi kwa bidi na kuzingatia falsafa ya ‘hapa kazi tu’ iliyoanzishwa na Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, John Magufuli.
Akizungumza na vijana juu ya mafanikio yake jijini Dar es Salaam jana, Vanessa alisema kuwa mafanikio aliyonayo hayakuja kama mvua, bali yametokana na kufanya kazi kwa bidii, kujiamini na kuwa mbunifu.
“Mafanikio...
5 years ago
MichuziRC TABORA AWATAKA TRA KUTUMIA TEHAMA KUJENGA MAZINGIRA RAFIKI NA MLIPA KODI
9 years ago
Habarileo10 Dec
Wafanyabiashara Mbeya watakiwa kutumia benki
WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya wamehimizwa kuacha tabia ya kuhifadhi mamilioni ya fedha majumbani na kwenye maduka yao na badala yake watumie benki zilizopo kuhifadhi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s72-c/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA AWATAKA MAWAKILI NA WATUMISHI KUWA MSTARI WA MBELE KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s640/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma akizungumzia kuhusu matumizi ya mfumo wa kusajili mashauri kwa njia mtandao.
***************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini...