MWAKALINGA AWATAKA MAKANDARASI KUTUMIA TAARIFA ZA TMA
Mkandarasi kutoka kampuni ya China Wu Yi, Mhandisi David Kipiki, akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga (WaTatu Kulia), alipokuwa akikagua Daraja la Mto Koga, mkoani Katavi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mshauri wa Kampuni ya Igis anayesimamia mradi wa ujenzi wa barabara ya Tabora - Koga -...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GEPjoAh-e4k/XlEV4UzQ2tI/AAAAAAALe0g/qA1t5Cp0LgsuJIXiLeWbd3IpbbynSOYDwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-47-1024x782.jpg)
MWAKALINGA AWATATAKA MAKANDARASI KUTUMIA TAARIFA ZA TMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GEPjoAh-e4k/XlEV4UzQ2tI/AAAAAAALe0g/qA1t5Cp0LgsuJIXiLeWbd3IpbbynSOYDwCLcBGAsYHQ/s640/1-47-1024x782.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-40-1024x751.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Bendera awataka wanahabari kuunga mkono jitihada za TMA
NA WILLIAM SHECHAMBO
MKUU wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amewataka wanahabari nchini kutumia nafasi waliyonayo kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa manufaa ya taifa.
Amesema jitihada hizo, ambazo ni utoaji wa taarifa za mabadiliko ya hali ya hewa kwa wakati na uhakika, haziwezi kuwafikia walengwa bila kuwepo vyombo vya habari ambavyo huunganisha jamii, serikali na taasisi binafsi.
Bendera alitoa rai hiyo jana mkoani Morogoro, wakati akifungua...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Wananchi wahamasishwa na taarifa TMA
IMEELEZWA hamasa ya wananchi kupata taarifa ya hali ya hewa imeongezeka baada ya majanga yanayotokea baharini. Kaimu Mkuu wa Shughuli za Hali ya Hewa kituo cha Zanzibar, Hafidhi Bakari, alibainisha...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
TMA kubadili mbinu utoaji taarifa
11 years ago
Habarileo20 Apr
TMA: Msidharau taarifa za hali ya hewa
WATANZANIA wametakiwa kutodharau tafiti na taarifa, zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwani mabadiliko ya mara kwa mara ya hali ya hewa yanayotokea yanaweza kuleta madhara.
9 years ago
Habarileo19 Dec
TMA yaahidi kutoa taarifa sahihi
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa itaendelea kuboresha utoaji wa taarifa za hali ya hewa nchini kwa kutoa taarifa sahihi na zenye ubora.
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Awataka kutumia benki kuhifadhi fedha
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Vanessa awataka wasanii kutumia falsafa ya ‘hapa kazi tu’
NA MWANDISHI WETU
MSANII Vanessa Mdee ambaye ni mmoja wa wanamuziki wanaoshiriki onyesho la Coke Studio linaloendelea, amewaasa wanamuziki wa Tanzania kufanya kazi kwa bidi na kuzingatia falsafa ya ‘hapa kazi tu’ iliyoanzishwa na Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, John Magufuli.
Akizungumza na vijana juu ya mafanikio yake jijini Dar es Salaam jana, Vanessa alisema kuwa mafanikio aliyonayo hayakuja kama mvua, bali yametokana na kufanya kazi kwa bidii, kujiamini na kuwa mbunifu.
“Mafanikio...
5 years ago
MichuziRC TABORA AWATAKA TRA KUTUMIA TEHAMA KUJENGA MAZINGIRA RAFIKI NA MLIPA KODI