TMA yaahidi kutoa taarifa sahihi
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa itaendelea kuboresha utoaji wa taarifa za hali ya hewa nchini kwa kutoa taarifa sahihi na zenye ubora.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Viongozi zingatieni kutoa taarifa sahihi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s72-c/46626941_401.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZILIZOTHIBITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s640/46626941_401.jpg)
LEO Aprili 2 dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhakikisha ukweli wa taarifa juu ya mambo yanayosikika ( World Fact Checking Day) ni siku ya kila mmoja kutafakari juu ya taarifa kuhusu taarifa anayopokea na kuipeleka kwa watu wengine.
Ikiwa ni maadhimisho ya tatu kufanyika mtandao wa uhakiki wa taarifa duniani (IFNC) umeeleza kuwa maadhimisho ya siku hiyo ni kwa kila mmoja wakiwemo wananchi, wanahabari na wataalamu wa uhakiki wa taarifa ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PJIvQ2Zg2P0/XrvAiqm2ygI/AAAAAAAAJYs/fbtxQA3uLKQPPC82mk6iFIYf8oibJdZ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_171200_000.jpg)
ACHENI KUTOA TAARIFA AMBAZO SIO SAHIHI, TUENDELEENI KUWA WAZALENDO
Suala hilo limekuja wakati dunia ilipojipata kwenye kisa cha Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 Unaosababishwa na virusi vya Corona na kuzifanya nchi nyingi dunia kufunga mipaka yao kudhibiti janga hilohuku Watalii wengi wakisitisha safari zao za kuja nchini.
Kwa Muktadha huo kwa siku za...
11 years ago
GPLTMA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO, KUTOA TAARIFA YA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2014
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s72-c/portland-press-herald_3258397.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....
![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s640/portland-press-herald_3258397.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NszFa7NTsoI/Xkg-6HN82hI/AAAAAAALdhs/RzCmMJiYjiscFub-uKaQLNU0u0W6ws7DwCLcBGAsYHQ/s72-c/17703646_303.jpg)
Kampuni ya Zola yaahidi kutoa mitambo kwa wanafunzi
Ahadi hiyo ilitolewa jana Jijini Arushawakati wa uzinduzi wa ofisi ya Zola mkoani Arusha,Mkurugenzi wa Kampuni ya Zola Afrika Mashariki Yusuph Nassor alisema serikali ya sasa imejilota mumsaidia mtoto kielimu kwa kutoa elimu bure, hivyo na wao wanaunga mkono jitihada hizo.
Licha ya kusaidia sekta ya elimu...
9 years ago
StarTV22 Sep
Serikali yaahidi kutoa haki kwa wamiliki Magereji
Serikali ameahidi kumaliza mgogoro uliopo kati ya mmiliki wa eneo la Magereji Wazohill na wamiliki wa gereji zilizoko katika eneo hilo baada ya kujiridhisha kwa mipaka yake.
Mgogoro wa eneo hilo umedumu kwa muda mrefu bila utatuzi wowote kutoka kwa Serikali ambayo iliwakabidhi wananchi kufanya shughuli zao katika eneo hilo.
Wafanyabiashara wa eneo hilo la Magereji walikabidhiwa na Manispaa ya Kinondoni 2005 baada ya kuvunjwa kwa gereji bubu na kutengewa eneo maalumu na baadaye Mwenge wa...
9 years ago
StarTV14 Nov
TMA yaendelea kutoa tahadhari kwa wananchi
Mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA imeendelea kuwakumbusha na kuwatahadharisha wananchi waishio mabondeni juu ya athari za mvua za vuli ambazo zimeanza kunyesha maeneo mbalimbali nchini.
Mvua hizo zimeanza kuonesha madhara kwa wananchi kutokana na kupuuzia agizo la mamlaka husika.
Dr Ladslaus Chang’a ni Mkurugenzi wa Utafiti wa masuala ya hali ya hewa,ambae anasema mvua hizi kwa mujibu wa rekodi za mamlaka ya hali ya hewa zimekuwa zikijirudia katika mwezi novemba kama ilivyotokea Novemba...
5 years ago
Press13 Feb
Huawei yaahidi kutoa motisha kwa wasambazaji wao nchini Tanzania.
Huawei yasaidia ukuaji wa wadau Tanzania.
Mkutano wa wauzaji wa simu za Huawei Device Tanzania 2016.
Bw. Wang Guang Jun, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Device Tanzania akitoa hotuba katika mkutano na wauzaji wa simu za Huawei ujulikanao kama Huawei Device Tanzania Dealer Congress 2016 uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii.
Hivi karibuni Kampuni ya Huawei Device Tanzania ilifanya mkutano wake wa kwanza wa wasambazaji wa simu za mkononi wakitilia...