Viongozi zingatieni kutoa taarifa sahihi
Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete aliikataa taarifa ya watu walioathirika na mafuriko yaliyotokea eneo la Dumila katika Wilaya za Kilosa na Mvomero mkoani Morogoro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Dec
TMA yaahidi kutoa taarifa sahihi
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa itaendelea kuboresha utoaji wa taarifa za hali ya hewa nchini kwa kutoa taarifa sahihi na zenye ubora.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s72-c/46626941_401.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZILIZOTHIBITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s640/46626941_401.jpg)
LEO Aprili 2 dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhakikisha ukweli wa taarifa juu ya mambo yanayosikika ( World Fact Checking Day) ni siku ya kila mmoja kutafakari juu ya taarifa kuhusu taarifa anayopokea na kuipeleka kwa watu wengine.
Ikiwa ni maadhimisho ya tatu kufanyika mtandao wa uhakiki wa taarifa duniani (IFNC) umeeleza kuwa maadhimisho ya siku hiyo ni kwa kila mmoja wakiwemo wananchi, wanahabari na wataalamu wa uhakiki wa taarifa ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PJIvQ2Zg2P0/XrvAiqm2ygI/AAAAAAAAJYs/fbtxQA3uLKQPPC82mk6iFIYf8oibJdZ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_171200_000.jpg)
ACHENI KUTOA TAARIFA AMBAZO SIO SAHIHI, TUENDELEENI KUWA WAZALENDO
Na Ahmed Mahmoud ArushaWIZA ya maliasili na Utalii Imejipanga kuhuisha sekta ya Utalii nchini kwa kushirikiana na wadau wa Utalii baada ya watalii kuonyesha nia ya kuja nchini kuanzia mwezi ujao.
Suala hilo limekuja wakati dunia ilipojipata kwenye kisa cha Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 Unaosababishwa na virusi vya Corona na kuzifanya nchi nyingi dunia kufunga mipaka yao kudhibiti janga hilohuku Watalii wengi wakisitisha safari zao za kuja nchini.
Kwa Muktadha huo kwa siku za...
Suala hilo limekuja wakati dunia ilipojipata kwenye kisa cha Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 Unaosababishwa na virusi vya Corona na kuzifanya nchi nyingi dunia kufunga mipaka yao kudhibiti janga hilohuku Watalii wengi wakisitisha safari zao za kuja nchini.
Kwa Muktadha huo kwa siku za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s72-c/portland-press-herald_3258397.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....
![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s640/portland-press-herald_3258397.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Tujenge utamaduni wa kutafuta taarifa sahihi
Taarifa sahihi ni silaha muhimu katika kukabiliana na kila jambo kwenye maisha ya kila siku ya mwanadamu. Maisha yetu kwa jumla yanaendeshwa kwa taarifa. Hii ni tangu binadamu anapozaliwa, anavyoishi hapa duniani hadi anapozikwa.
10 years ago
Habarileo01 Aug
‘Wapeni wanahabari taarifa sahihi wasipotoshe’
MAOFISA habari katika halmashauri mbalimbali nchini, wamepewa mwito kuwapa wanahabari taarifa sahihi kuepusha kupotosha jamii.
10 years ago
Vijimambo10 Feb
TAARIFA YA GAZETI LA MTANZANIA SIO SAHIHI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/314.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe (aliyesimama katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Makanisa ya Wasabato (SDA) wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la kila siku la Mtanzania tarehe 9 Februari, 2015, kuna taarifa yenye kichwa cha habari inayosemeka kuwa, “Membe adaiwa kutetea mtandao wa kifisadi”. Taarifa ya Mtanzania inadai Mheshimiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania