‘Wapeni wanahabari taarifa sahihi wasipotoshe’
MAOFISA habari katika halmashauri mbalimbali nchini, wamepewa mwito kuwapa wanahabari taarifa sahihi kuepusha kupotosha jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s72-c/portland-press-herald_3258397.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....
![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s640/portland-press-herald_3258397.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Tujenge utamaduni wa kutafuta taarifa sahihi
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Viongozi zingatieni kutoa taarifa sahihi
9 years ago
Habarileo19 Dec
TMA yaahidi kutoa taarifa sahihi
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa itaendelea kuboresha utoaji wa taarifa za hali ya hewa nchini kwa kutoa taarifa sahihi na zenye ubora.
10 years ago
Vijimambo10 Feb
TAARIFA YA GAZETI LA MTANZANIA SIO SAHIHI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/314.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe (aliyesimama katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Makanisa ya Wasabato (SDA) wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la kila siku la Mtanzania tarehe 9 Februari, 2015, kuna taarifa yenye kichwa cha habari inayosemeka kuwa, “Membe adaiwa kutetea mtandao wa kifisadi”. Taarifa ya Mtanzania inadai Mheshimiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s72-c/46626941_401.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZILIZOTHIBITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s640/46626941_401.jpg)
LEO Aprili 2 dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhakikisha ukweli wa taarifa juu ya mambo yanayosikika ( World Fact Checking Day) ni siku ya kila mmoja kutafakari juu ya taarifa kuhusu taarifa anayopokea na kuipeleka kwa watu wengine.
Ikiwa ni maadhimisho ya tatu kufanyika mtandao wa uhakiki wa taarifa duniani (IFNC) umeeleza kuwa maadhimisho ya siku hiyo ni kwa kila mmoja wakiwemo wananchi, wanahabari na wataalamu wa uhakiki wa taarifa ikiwa...
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Taarifa na Lugha sahihi: Dhana ya kupunguza madhara ya maafa
Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa, akiwakaribisha washiriki na kufungua warsha ya mafunzo ya siku nne ya waandishi wa habari na watangazaji wa Redio Jamii kuhusu kuandika taarifa za Maafa na Misaada ya Kibinadamu yanayofanyika mjini Kahama. Kushoto ni Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO Mama Rose Haji Mwalimu na kulia ni Hellen Msemo kutoka Mamamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA).
Na Mwandishi Wetu
Ukosefu wa taarifa na lugha sahihi halikadhalika kukosa uelewa katika jamii...