TAARIFA YA GAZETI LA MTANZANIA SIO SAHIHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe (aliyesimama katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Makanisa ya Wasabato (SDA) wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la kila siku la Mtanzania tarehe 9 Februari, 2015, kuna taarifa yenye kichwa cha habari inayosemeka kuwa, “Membe adaiwa kutetea mtandao wa kifisadi”. Taarifa ya Mtanzania inadai Mheshimiwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PJIvQ2Zg2P0/XrvAiqm2ygI/AAAAAAAAJYs/fbtxQA3uLKQPPC82mk6iFIYf8oibJdZ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_171200_000.jpg)
ACHENI KUTOA TAARIFA AMBAZO SIO SAHIHI, TUENDELEENI KUWA WAZALENDO
Suala hilo limekuja wakati dunia ilipojipata kwenye kisa cha Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 Unaosababishwa na virusi vya Corona na kuzifanya nchi nyingi dunia kufunga mipaka yao kudhibiti janga hilohuku Watalii wengi wakisitisha safari zao za kuja nchini.
Kwa Muktadha huo kwa siku za...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Kuchaguana kwa jinsia sio sahihi
10 years ago
Vijimambo27 Jan
Gazeti la Mtanzania: Kumradhi Wema Sepetu
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/WEMA_SEPETU789.jpg)
10 years ago
CloudsFM28 Jan
Gazeti la Mtanzania lamuomba radhi Wema Sepetu
JANA kupitia 255 ya XXL ulisikia stori liyokuwa ikimuhusu Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu na aliyekuwa mpenzi wake Diamond ikilihusu gazeti la Mtanzania ambalo lilichapisha habari hiyo ikidai kuwa Wema alikuwa akimdai Diamond zaidi ya shs mill.10 ambayo aliikopa Vikoba.
Kupitia tovuti ya gazeti lao wamemuomba radhi Wema Sepetu kwa kuchapisha habari hiyo ambayo waliandika hivi:-
"Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No.7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika stori yenye kichwa cha...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s72-c/portland-press-herald_3258397.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....
![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s640/portland-press-herald_3258397.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/i2tlzEC7VRs/default.jpg)
10 years ago
MichuziMhariri Gazeti la MTANZANIA akabidhi vyeti Shule ya Salma Kikwete
Wito huo ulitolewa Dar es Salam na Mhariri Msanifu wa gazeti la MTANZANIA, Khamis Mkotya alipokuwa akizungumza katika mahafali ya tano ya Jumuiya ya wanafunzi wa Kiislamu wa Shule ya Sekondari ya Salma Kikwete.
Mkotya ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo ambapo alisema ni lazima jamii ikubali kuondokana na kulalamika na badala yake iandae mazingira mazuri ya watoto wao...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s72-c/mkotya%2B1.jpg)
HARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA,KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA NA NKAMIA JIMBO LA CHEMBA,DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s640/mkotya%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EOOZgmycYOI/Vatiye14DXI/AAAAAAAA36g/2739rTF8Xww/s640/mkotya%2B2.jpg)