Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuchaguana kwa jinsia sio sahihi

Majuma matatu yamepita tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba, wajumbe wa Bunge hilo la kihistoria wamekuwa wakifanya kazi moja tu, kutunga kanuni bora za uendeshaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

11 years ago

Mwananchi

Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa

Watakombolewa na Ulimwengu mzima unatambua kwamba hakuna nchi iliyowahi kuendelea bila wananchi wake kuwa na elimu. Maendeleo yote yametokana na elimu sahihi iliyojaa maarifa, ubunifu, uwezo mkubwa wa kufikiri na kuvumbua dhana mpya.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA GAZETI LA MTANZANIA SIO SAHIHI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe (aliyesimama katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Makanisa ya Wasabato (SDA) wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la kila siku la Mtanzania tarehe 9 Februari, 2015, kuna taarifa yenye kichwa cha habari inayosemeka kuwa, “Membe adaiwa kutetea mtandao wa kifisadi”. Taarifa ya Mtanzania inadai Mheshimiwa...

 

5 years ago

Michuzi

ACHENI KUTOA TAARIFA AMBAZO SIO SAHIHI, TUENDELEENI KUWA WAZALENDO

Na  Ahmed Mahmoud ArushaWIZA ya maliasili na Utalii Imejipanga kuhuisha sekta ya Utalii nchini kwa kushirikiana na wadau wa Utalii baada ya watalii kuonyesha nia ya kuja nchini kuanzia mwezi ujao.
Suala hilo limekuja wakati dunia ilipojipata kwenye kisa cha Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 Unaosababishwa na virusi vya Corona na kuzifanya nchi nyingi dunia kufunga mipaka yao kudhibiti janga hilohuku Watalii wengi wakisitisha safari zao za kuja nchini.
Kwa Muktadha huo kwa siku za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWK kuchaguana

JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchanguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu, katika nafasi mbalimbali ndani ya jumuiya hiyo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...

 

10 years ago

Vijimambo

Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amekuwa mstari wa mbele kupaza sauti kuhusiana na kutokuwepo kwa usawa kati ya watayarishaji wa muziki na wasanii nchini.Master J ameiambia Bongo5 kuwa kuna watayarishaji ameshaona wanakosa moyo wa kufanya kazi kutokana hali hiyo.“Tanzania maprodyuza ni maskini, eti wasanii wana hela kuliko producers hii ni industry gani,” amehoji Master J. “Kwa sababu hapa hizi sheria zilizopo hazimlindi producer ndo maana anadharaulika. Huyo huyo msanii yupo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba kuchaguana Mei 4

UCHAGUZI Mkuu wa Klabu ya Simba, umepangwa kufanyika Mei 4, mwaka kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage aliyeingia madarakani Mei 9, 2010. Kwa mujibu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kariakoo kuchaguana Novemba 29

JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mwenyekiti wa JWK,...

 

10 years ago

Mtanzania

Waandishi Morogoro kuchaguana Agosti 22

Na Ashura Kazinja, Morogoro

HEKAHEKA ya kupata viongozi wapya  watakaoongoza kwa miaka mitatu Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) zimeanza.

Hayo yalibainishwa na mratibu wa klabu hiyo, Thadei Hafigwa, wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa ambapo alisema uchaguzi huo utafanyika Agosti 22, mwaka huu.

Alisema uchaguzi huo unafanyika ili kutekeleza azimio la mkutano mkuu wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ili kuiweka vema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani