Kuchaguana kwa jinsia sio sahihi
Majuma matatu yamepita tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba, wajumbe wa Bunge hilo la kihistoria wamekuwa wakifanya kazi moja tu, kutunga kanuni bora za uendeshaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa
10 years ago
Vijimambo10 Feb
TAARIFA YA GAZETI LA MTANZANIA SIO SAHIHI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/314.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe (aliyesimama katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Makanisa ya Wasabato (SDA) wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la kila siku la Mtanzania tarehe 9 Februari, 2015, kuna taarifa yenye kichwa cha habari inayosemeka kuwa, “Membe adaiwa kutetea mtandao wa kifisadi”. Taarifa ya Mtanzania inadai Mheshimiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PJIvQ2Zg2P0/XrvAiqm2ygI/AAAAAAAAJYs/fbtxQA3uLKQPPC82mk6iFIYf8oibJdZ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_171200_000.jpg)
ACHENI KUTOA TAARIFA AMBAZO SIO SAHIHI, TUENDELEENI KUWA WAZALENDO
Suala hilo limekuja wakati dunia ilipojipata kwenye kisa cha Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu Covid 19 Unaosababishwa na virusi vya Corona na kuzifanya nchi nyingi dunia kufunga mipaka yao kudhibiti janga hilohuku Watalii wengi wakisitisha safari zao za kuja nchini.
Kwa Muktadha huo kwa siku za...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
JWK kuchaguana
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchanguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu, katika nafasi mbalimbali ndani ya jumuiya hiyo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Simba kuchaguana Mei 4
UCHAGUZI Mkuu wa Klabu ya Simba, umepangwa kufanyika Mei 4, mwaka kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage aliyeingia madarakani Mei 9, 2010. Kwa mujibu...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Kariakoo kuchaguana Novemba 29
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mwenyekiti wa JWK,...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Waandishi Morogoro kuchaguana Agosti 22
Na Ashura Kazinja, Morogoro
HEKAHEKA ya kupata viongozi wapya watakaoongoza kwa miaka mitatu Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) zimeanza.
Hayo yalibainishwa na mratibu wa klabu hiyo, Thadei Hafigwa, wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa ambapo alisema uchaguzi huo utafanyika Agosti 22, mwaka huu.
Alisema uchaguzi huo unafanyika ili kutekeleza azimio la mkutano mkuu wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ili kuiweka vema...