Kariakoo kuchaguana Novemba 29
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mwenyekiti wa JWK,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’
Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.
Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Matokeo ya jana Jumamosi Novemba 7 na ratiba ya michezo ya leo Novemba 8 katika ligi kubwa tano (5) barani Ulaya
ENGLAND – PRIMEAR LEAGUE
Bournemouth 0 – 1 Newcastle United
West Ham United 1 – 1 Everton
Sunderland 0 – 1 Southampton
Norwich City 1 – 0 Swansea City
Manchester United 2 – 0 West Bromwich Albion
Leicester City 2 – 1 Watford
Stoke City 1 – 0 Chelsea
HISPANIA- PRIMERA DIVISION
Celta de Vigo 1 – 5 Valencia
Levante 1 – 1 Deportivo de La Coruña
Eibar 3 – 1 Getafe
Rayo Vallecano 2 – 1 Granada
Málaga 0 – 1 Real Betis
UJERUMANI – BUNDESLIGA
FSV Mainz 2 – 0 VfL Wolfsburg
Bayer Leverkusen 1 – 2...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
JWK kuchaguana
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchanguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu, katika nafasi mbalimbali ndani ya jumuiya hiyo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Simba kuchaguana Mei 4
UCHAGUZI Mkuu wa Klabu ya Simba, umepangwa kufanyika Mei 4, mwaka kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage aliyeingia madarakani Mei 9, 2010. Kwa mujibu...
10 years ago
Michuzi06 Nov
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Kenya kuamua kuchaguana keshokutwa
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Waandishi Morogoro kuchaguana Agosti 22
Na Ashura Kazinja, Morogoro
HEKAHEKA ya kupata viongozi wapya watakaoongoza kwa miaka mitatu Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) zimeanza.
Hayo yalibainishwa na mratibu wa klabu hiyo, Thadei Hafigwa, wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa ambapo alisema uchaguzi huo utafanyika Agosti 22, mwaka huu.
Alisema uchaguzi huo unafanyika ili kutekeleza azimio la mkutano mkuu wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ili kuiweka vema...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Kuchaguana kwa jinsia sio sahihi
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
TFF yabariki rasmi Simba kuchaguana
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limebariki rasmi kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kama ulivyopangwa awali hapo Juni 29. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF,...