Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kariakoo kuchaguana Novemba 29

JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mwenyekiti wa JWK,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’

Screen-Shot-2014-08-20-at-9.10.20-AM

Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya  www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.

Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya jana Jumamosi Novemba 7 na ratiba ya michezo ya leo Novemba 8 katika ligi kubwa tano (5) barani Ulaya

Soccer results

ENGLAND – PRIMEAR LEAGUE

Bournemouth 0 –  1 Newcastle United

West Ham United 1 – 1 Everton

Sunderland 0 – 1 Southampton

Norwich City 1 – 0 Swansea City

Manchester United 2 – 0 West Bromwich Albion

Leicester City 2 – 1 Watford

Stoke City 1 – 0 Chelsea 

HISPANIA- PRIMERA DIVISION

Celta de Vigo 1 – 5 Valencia

Levante 1 – 1 Deportivo de La Coruña

Eibar 3 – 1 Getafe

Rayo Vallecano 2 – 1 Granada

Málaga 0 – 1 Real Betis

UJERUMANI – BUNDESLIGA

FSV Mainz 2 – 0 VfL Wolfsburg

Bayer Leverkusen 1 – 2...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWK kuchaguana

JUMUIYA ya Wafanyabiashara Soko Kuu la Kariakoo (JWK), inatarajia kufanya uchanguzi wa viongozi wake Novemba 29 mwaka huu, katika nafasi mbalimbali ndani ya jumuiya hiyo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba kuchaguana Mei 4

UCHAGUZI Mkuu wa Klabu ya Simba, umepangwa kufanyika Mei 4, mwaka kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage aliyeingia madarakani Mei 9, 2010. Kwa mujibu...

 

5 years ago

Mwananchi

Kenya kuamua kuchaguana keshokutwa

Wakenya keshokutwa wanapiga kura kuchagua viongozi wa kuongoza mamlaka ya nchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano, huku Kituo cha Taifa cha Haki za Binadamu nchini Kenya (KNCHR), Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) kuhakikisha matokeo ya kura zilizopigwa kwenye maeneo yasiyokuwa na mtandao yanakuwa sahihi.

 

10 years ago

Mtanzania

Waandishi Morogoro kuchaguana Agosti 22

Na Ashura Kazinja, Morogoro

HEKAHEKA ya kupata viongozi wapya  watakaoongoza kwa miaka mitatu Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) zimeanza.

Hayo yalibainishwa na mratibu wa klabu hiyo, Thadei Hafigwa, wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa ambapo alisema uchaguzi huo utafanyika Agosti 22, mwaka huu.

Alisema uchaguzi huo unafanyika ili kutekeleza azimio la mkutano mkuu wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ili kuiweka vema...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuchaguana kwa jinsia sio sahihi

Majuma matatu yamepita tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba, wajumbe wa Bunge hilo la kihistoria wamekuwa wakifanya kazi moja tu, kutunga kanuni bora za uendeshaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yabariki rasmi Simba kuchaguana

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limebariki rasmi kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kama ulivyopangwa awali hapo Juni 29. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani