Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMA kubadili mbinu utoaji taarifa

>Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agness Kijazi amesema licha ya mamlaka hiyo kutoa taarifa za hali ya hewa,   watumiaji wamekuwa hawazingatii  hali inayosababisha kuendelea kutokea kwa majanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahamasishwa na taarifa TMA

IMEELEZWA hamasa ya wananchi kupata taarifa ya hali ya hewa imeongezeka baada ya majanga yanayotokea baharini. Kaimu Mkuu wa Shughuli za Hali ya Hewa kituo cha Zanzibar, Hafidhi Bakari, alibainisha...

 

9 years ago

Habarileo

TMA yaahidi kutoa taarifa sahihi

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa itaendelea kuboresha utoaji wa taarifa za hali ya hewa nchini kwa kutoa taarifa sahihi na zenye ubora.

 

11 years ago

Habarileo

TMA: Msidharau taarifa za hali ya hewa

Dk Agness KijaziWATANZANIA wametakiwa kutodharau tafiti na taarifa, zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwani mabadiliko ya mara kwa mara ya hali ya hewa yanayotokea yanaweza kuleta madhara.

 

5 years ago

Michuzi

MWAKALINGA AWATAKA MAKANDARASI KUTUMIA TAARIFA ZA TMA


Mkandarasi kutoka kampuni ya China Wu Yi, Mhandisi David Kipiki, akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga (WaTatu Kulia), alipokuwa akikagua Daraja la Mto Koga, mkoani Katavi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mshauri wa Kampuni ya Igis anayesimamia mradi wa ujenzi wa barabara ya Tabora - Koga -...

 

5 years ago

Michuzi

MWAKALINGA AWATATAKA MAKANDARASI KUTUMIA TAARIFA ZA TMA


 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mshauri wa Kampuni ya Igis anayesimamia mradi wa ujenzi wa barabara ya Tabora – Koga – Mpanda sehemu ya Koga – Kasinde (Km 112), mkoani Katavi.Mkandarasi kutoka kampuni ya China Wu Yi, Mhandisi David Kipiki, akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sekretarieti ya ajira yahimiza utoaji taarifa

SEKRETARIETI ya ajira imewataka wadau wake ambao watakuwa wamepotelewa, wameibiwa, wameharibikiwa ama kuunguliwa na vyeti vya kitaaluma na wale waliyosoma nje ya nchi, kutambua kuwa wanapaswa kutoa taarifa katika sehemu...

 

10 years ago

Michuzi

MSD YABORESHA HUDUMA ZA UTOAJI TAARIFA KWA WATEJA WAKE

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
BOHARI ya dawa (MSD) imeboresha huduma kwa wateja wake kwa kutoa taarifa zinazomhusu mteja kwa kuziweka wazi katika tovuti yao.
Amesema hayo Kaimu Mkurugenzi Huduma kwa Wateja na Shughuli za Bohari ya Dawa (MSD), Edward Terry, akizungumza na wandishi wa habari katika ukumbi wa Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Terry amesema kuwa taarifa hizo ni za mali inayopatikanagharani, taarifa za kiasi cha fedha za wateja kilichopo katika kila...

 

10 years ago

Michuzi

MSD YABORESHA HUDUMA ZA UTOAJI TAARIFA KWA WATEJA WAKE.

Kaimu Mkurugenzi Huduma kwa Wateja na Shughuli za Kanda Bohari ya dawa (MSD), Edward Terry,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa habari MAELEZO jijjini Dar es Salaam leo kuhusu utendaji na mipango ya Bohari ya Dawa (MSD) na Ofisa Uhusiano Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),Etty Kusiluka.
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.  BOHARI ya dawa (MSD) imeboresha huduma  kwa wateja wake kwa kutoa taarifa zinazomhusu mteja kwa kuziweka wazi katika tovuti yao.
 Akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani