MSD YABORESHA HUDUMA ZA UTOAJI TAARIFA KWA WATEJA WAKE.
Kaimu Mkurugenzi Huduma kwa Wateja na Shughuli za Kanda Bohari ya dawa (MSD), Edward Terry,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa habari MAELEZO jijjini Dar es Salaam leo kuhusu utendaji na mipango ya Bohari ya Dawa (MSD) na Ofisa Uhusiano Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),Etty Kusiluka.
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii. BOHARI ya dawa (MSD) imeboresha huduma kwa wateja wake kwa kutoa taarifa zinazomhusu mteja kwa kuziweka wazi katika tovuti yao.
Akizungumza na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BFXB-xVSOyQ/VTEuHJLbzGI/AAAAAAAHRus/E2C7xx1ygh8/s72-c/unnamedk.jpg)
MSD YABORESHA HUDUMA ZA UTOAJI TAARIFA KWA WATEJA WAKE
BOHARI ya dawa (MSD) imeboresha huduma kwa wateja wake kwa kutoa taarifa zinazomhusu mteja kwa kuziweka wazi katika tovuti yao.
Amesema hayo Kaimu Mkurugenzi Huduma kwa Wateja na Shughuli za Bohari ya Dawa (MSD), Edward Terry, akizungumza na wandishi wa habari katika ukumbi wa Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Terry amesema kuwa taarifa hizo ni za mali inayopatikanagharani, taarifa za kiasi cha fedha za wateja kilichopo katika kila...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OSpCaBLlY6M/VXVuc-uzmSI/AAAAAAAHdAM/XPdvdQZkCUw/s72-c/MMGL0274.jpg)
NSSF yaboresha huduma za wateja wake
Aidha sekta isiyo rasmi na rasmi zimeaswa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii itakayowawezesha kujikwamua kiuchumi kwani waliojiandikisha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni wachache hali inayopelekea wazee...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yasheherekea miaka 17 ya utoaji huduma na wateja wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-6CvHmGIn9Vc/U_GnCKfB3pI/AAAAAAACnk4/g25NPSfZPmU/s1600/17th%2BANN%2BPIX%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Cc0InBfyVJ0/XvebnuK01AI/AAAAAAALvtY/oRePEI_VlPUZGmXcpqvno2DNn6mUqo-CQCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Hospitali ya Mirembe yaboresha utoaji wa huduma za afya
Huduma kuanza saa 1:00 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi
Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imefanya mabadiliko katika utoaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wa nje, ambapo muda wa kuanza kutoa matibabu ni saa moja asubuhi badala ya saa mbili asubuhi.
Lengo la uongozi wa hospitali kufanya mabadiliko hayo ni kuboresha huduma za afya ili kuwezesha watu mbalimbali kupata huduma za matibabu mapema zaidi na kwa wakati.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sLeSXwQMiow/VR1k-yBSicI/AAAAAAAHO-s/hjj3EbW0ff8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-02%2Bat%2B6.47.50%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P52VKPKRgFs/VK0fPvvQL5I/AAAAAAAG7zU/O7D6G9q3UXU/s72-c/DSC_0023.jpg)
BANK M KUBORESHA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-P52VKPKRgFs/VK0fPvvQL5I/AAAAAAAG7zU/O7D6G9q3UXU/s1600/DSC_0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4uDlFyglBIA/VK0fPipaDQI/AAAAAAAG7zY/5dyWOtJrpMA/s1600/DSC_0026.jpg)
Benki M imesema imeendelea kuboresha huduma kwa...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Tigo yaomba wateja wake radhi kwa kukatika kwa huduma zake!
[Dar es Salaam] Kampuni ya simu ya Tigo imeomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma zake katika sehemu nyingine nchini jana Novemba 8.2015.
Taarifa ya kampuni hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam imesema kukatika kwa huduma za Tigo “kulitokana na sababu zilizo nje ya uwezo kwa kampuni zilizo tokana na kukatika kwa mkongo sehemu tofauti tofauti.” Aidha taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba “tatizo hilo sasa limeshughulikiwa kikamilifu na huduma zote...
10 years ago
Michuzi14 Dec
PSPF YAPATA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/unnamed267.jpg)