Sekretarieti ya ajira yahimiza utoaji taarifa
SEKRETARIETI ya ajira imewataka wadau wake ambao watakuwa wamepotelewa, wameibiwa, wameharibikiwa ama kuunguliwa na vyeti vya kitaaluma na wale waliyosoma nje ya nchi, kutambua kuwa wanapaswa kutoa taarifa katika sehemu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru NewspaperSekretarieti ya Ajira yawananga wasomi
WAHITIMU wengi wanaotuma maombi ya kazi serikalini hawajui taratibu za kufuata, hivyo kushindwa kunufaika na fursa hizo kutokana na kuwasilisha nyaraka zisizokithi vigezo, imeelezwa.
Pia baadhi ya waombaji hao wamekuwa wakiwasilisha vyeti vya elimu visivyokidhi viwango na wengine kusoma katika vyuo ambavyo havitambuliki na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU).
Kutokana na sababu hizo, baadhi ya wadau...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Mkwizu aifunda Sekretarieti ya Ajira
NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, ameitaka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kufanya kazi kwa ubora wa hali ya juu ili...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kairuki kuibana Sekretarieti Ajira
11 years ago
Habarileo23 Jun
Sekretarieti ya Ajira kuzipa rungu serikali za mitaa
SERIKALI za mitaa zitaruhusiwa kuanza kuajiri watumishi wa baadhi ya kada za chini katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X6iD_Sa0owQ/VoKGbqgXfKI/AAAAAAAIPM8/PSTaaCII4r0/s72-c/793bd368-6a29-4f0e-b301-86bfa6cb4fe8.jpg)
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira watakiwa kuzingatia Maadili
![](http://4.bp.blogspot.com/-X6iD_Sa0owQ/VoKGbqgXfKI/AAAAAAAIPM8/PSTaaCII4r0/s640/793bd368-6a29-4f0e-b301-86bfa6cb4fe8.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Aug
Sekretarieti ya Ajira yalia na nyaraka pungufu za waomba kazi
SEKRETARIETI ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imesema inakabiliwa na changamoto kubwa ya baadhi ya waombaji wa kazi mbalimbali kuwasilisha nyaraka pungufu na hivyo kuwasababishia kukosa nafasi ya kuchaguliwa au kukosa fursa ya kufanya usaili.
10 years ago
Habarileo20 Jan
Watu 191,844 waomba kazi Sekretarieti ya Ajira
OFISI ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imepokea maombi ya kazi 191,844 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2010 hadi Septemba, mwaka jana.
10 years ago
Habarileo12 Apr
Sekretarieti ya ajira yaja na mfumo mpya wa maombi ya kazi
SEKRETARIETI ya ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kuzindua mfumo mpya wa utumaji na upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kupitia ‘Recruitment Portal’ hivi karibuni baada ya hatua za majaribio ya mfumo huo kuonesha mafanikio.
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira nchini watakiwa kuzingatia Maadili!!
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki akipata maelezo kutoka kwa watendaji wa Sekretarieti ya ajira (hawapo pichani) alipofanya ziara katika ofisi hiyo, mapema leo Desemba 29.
Na Kassim Nyaki, Afisa Mawasiliano Sekretarieti ya Ajira
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao, kwa kuwa kazi wanayoifanya ni nyeti na inagusa maisha ya watu ambayo itahitaji watu...