Sekretarieti ya ajira yaja na mfumo mpya wa maombi ya kazi
SEKRETARIETI ya ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kuzindua mfumo mpya wa utumaji na upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kupitia ‘Recruitment Portal’ hivi karibuni baada ya hatua za majaribio ya mfumo huo kuonesha mafanikio.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VRHYeCCRgNw/VSgdCoNO6pI/AAAAAAAHQJw/QMd3z4aN0wQ/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Mfumo mpya wa upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kuzinduliwa hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-VRHYeCCRgNw/VSgdCoNO6pI/AAAAAAAHQJw/QMd3z4aN0wQ/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
10 years ago
Habarileo28 Aug
Sekretarieti ya Ajira yalia na nyaraka pungufu za waomba kazi
SEKRETARIETI ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imesema inakabiliwa na changamoto kubwa ya baadhi ya waombaji wa kazi mbalimbali kuwasilisha nyaraka pungufu na hivyo kuwasababishia kukosa nafasi ya kuchaguliwa au kukosa fursa ya kufanya usaili.
10 years ago
Habarileo20 Jan
Watu 191,844 waomba kazi Sekretarieti ya Ajira
OFISI ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imepokea maombi ya kazi 191,844 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2010 hadi Septemba, mwaka jana.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Sheria mpya ya vibali vya ajira yaja
WIZARA ya Kazi na Ajira iko katika mchakato wa kuandaa Sheria mpya ya utoaji wa vibali vya ajira kwa wageni ili kudhibiti kuajiriwa kwa wageni ili kufanya kazi ambazo Watanzania wenyewe wanaweza kuzifanya.
Waziri katika wizara hiyo, Gaudentia Kabaka aliliambia Bunge kuwa sheria hiyo itatoa mwongozo juu ya utoaji vibali, kwani sasa kumekuwa na sehemu nyingi hivyo kuwa na sehemu moja pamoja na adhabu kwa wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.
Alisema mchakato huo uko...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zrhD-iWoNww/XrUcElozVTI/AAAAAAALpdk/5RZluMF7s-EBk4-9dqGbe2biNoB2Xm9LgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200508-WA0010.jpg)
Parimatch yafanya maboresho, yaja kibabe na mfumo mpya
Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao na watanzania kiujumla wanaopenda kubashiri kujumuika pamoja.
Wateja wa Parimatch watacheza kwa pamoja michezo yote ya Simulated Reality League, E-Sports, masumbwi na soka ambayo inatarajiwa kurejea Mei 16 ikianza na Ligi ya Ujerumani ‘Bundesliga,’ kwa kutumia intaneti kidogo.
Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Az0oXj74tuc/Xo2P-K7fGPI/AAAAAAALmd0/4TfBJLEc47I0IJKpJ2ayJRRlvR-yiEmjACLcBGAsYHQ/s72-c/a68ad77e-313a-4535-aad7-de1fef0f2bdb.jpg)
MKURUGENZI JIJI LA DODOMA ATANGAZA MFUMO MPYA WA KUJAZA MAOMBI YA KUFANYA BIASHARA KWENYE MIRADI YA KIMKAKATI
Charles James, Michuzi TV
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetangaza kutumia mfumo wa malipo mtandao kwa wananchi kujaza fomu za kuomba nafasi za kufanya biashara kwenye miradi minne ya kimkakati ya Stendi ya Mabasi na Malori, Soko Kuu na eneo la Mapumziko la Chinangali.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema wamefanya mabadiliko hayo ikiwa ni siku mbili watangaze kuanza kutoa fomu kwa wananchi wanaotaka kuwekeza kwenye miradi...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kairuki kuibana Sekretarieti Ajira
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Mkwizu aifunda Sekretarieti ya Ajira
NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, ameitaka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kufanya kazi kwa ubora wa hali ya juu ili...
10 years ago
Uhuru NewspaperSekretarieti ya Ajira yawananga wasomi
WAHITIMU wengi wanaotuma maombi ya kazi serikalini hawajui taratibu za kufuata, hivyo kushindwa kunufaika na fursa hizo kutokana na kuwasilisha nyaraka zisizokithi vigezo, imeelezwa.
Pia baadhi ya waombaji hao wamekuwa wakiwasilisha vyeti vya elimu visivyokidhi viwango na wengine kusoma katika vyuo ambavyo havitambuliki na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU).
Kutokana na sababu hizo, baadhi ya wadau...