Watu 191,844 waomba kazi Sekretarieti ya Ajira
OFISI ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imepokea maombi ya kazi 191,844 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2010 hadi Septemba, mwaka jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Aug
Sekretarieti ya Ajira yalia na nyaraka pungufu za waomba kazi
SEKRETARIETI ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imesema inakabiliwa na changamoto kubwa ya baadhi ya waombaji wa kazi mbalimbali kuwasilisha nyaraka pungufu na hivyo kuwasababishia kukosa nafasi ya kuchaguliwa au kukosa fursa ya kufanya usaili.
10 years ago
Habarileo12 Apr
Sekretarieti ya ajira yaja na mfumo mpya wa maombi ya kazi
SEKRETARIETI ya ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kuzindua mfumo mpya wa utumaji na upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kupitia ‘Recruitment Portal’ hivi karibuni baada ya hatua za majaribio ya mfumo huo kuonesha mafanikio.
10 years ago
Dewji Blog12 Nov
KINUKAMORI waomba dola 30,000 kutengeneza ajira kwa watu 300
Mkurugenzi Mtendaji wa EWP na Mkurugenzi wa Kinukamori Enterprises, Bw. Alpha Phares Moshi (wa pili kushoto) akimkaribisha Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez alipowasili kwenye Taasisi isiyo ya kiserikali inayo shughulika na uhifadhi wa mazingira eneo la Kinukamori, Marangu mkoani Kilimanjaro wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na UNDP huku akiwa amembatana na Mratibu wa Kitaifa miradi ya COMPACT...
10 years ago
Michuzi12 Nov
KINUKAMORI WAOMBA DOLA 30,000 KUTENGENEZA AJIRA KWA WATU 300
Kauli hiyo wameitoa kwa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez wakati alipofanya ziara ...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
AJIRA: Watu 6,740 kuwania nafasi 47 za kazi TBS
10 years ago
Uhuru NewspaperSekretarieti ya Ajira yawananga wasomi
WAHITIMU wengi wanaotuma maombi ya kazi serikalini hawajui taratibu za kufuata, hivyo kushindwa kunufaika na fursa hizo kutokana na kuwasilisha nyaraka zisizokithi vigezo, imeelezwa.
Pia baadhi ya waombaji hao wamekuwa wakiwasilisha vyeti vya elimu visivyokidhi viwango na wengine kusoma katika vyuo ambavyo havitambuliki na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU).
Kutokana na sababu hizo, baadhi ya wadau...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kairuki kuibana Sekretarieti Ajira
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Mkwizu aifunda Sekretarieti ya Ajira
NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, ameitaka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kufanya kazi kwa ubora wa hali ya juu ili...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Sekretarieti ya ajira yahimiza utoaji taarifa
SEKRETARIETI ya ajira imewataka wadau wake ambao watakuwa wamepotelewa, wameibiwa, wameharibikiwa ama kuunguliwa na vyeti vya kitaaluma na wale waliyosoma nje ya nchi, kutambua kuwa wanapaswa kutoa taarifa katika sehemu...