Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJIRA: Watu 6,740 kuwania nafasi 47 za kazi TBS

Watu 6,740 leo wanatarajia kufanyiwa usaili wa kuwania nafasi 47 zilizotangazwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Aprili, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NAFASI ZA AJIRA KUTOKA TBS

ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA TBS KWA KUBONYEZA HAPA

 

11 years ago

Habarileo

6,740 wasailiwa kujaza nafasi 47

TAASISI na idara za Serikali zimeendelea na utaratibu mbovu wa kuajiri kwa kuita wasailiwa wengi kwa nafasi chache walizotangaza, ulioasisiwa na Idara ya Uhamiaji. Jana Shirika la Viwango Tanzania (TBS), lilianza kuwafanyia usaili watu 6,740 kwa ajili ya kuwania nafasi 47 tu zilizowazi, zilizotangazwa Aprili mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA VYAMA VYA SIASA WAJITOKEZE KUWANIA NAFASI MBALI MBALI KUWANIA NAFASI NEC

  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Iddi akikabidhiwa Fomu za kuwania nafasi ya Ujumbe wa Baraza laWawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda kutoka kwa Afisa wa UchaguziWilaya ya Kaskazini B Ndugu Makame Pandu Khamis.
 Afisa wa Uchaguzi Wilaya ya Kaskazini B Nd. Makame
Pandu Khamis akitoa maelezo kumpatia Balozi Seif ya namna ya ujazajiwa fomu za kuwania Uwakilishi Jimbo la Mahonda Ofisini kwake MahondaWilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unaguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa...

 

10 years ago

Bongo5

Ma-producer wenzangu wafanye kazi kwa bidii ili wapate nafasi ya kuwania tuzo za kimataifa — Sheddy Clever

Producer Sheddy Clever ambaye alipata nafasi ya kuchaguliwa mara mbili kuwania tuzo za nje za AFRIMMA akiwa producer pekee wa Tanzania kwenye tuzo hizo, ametoa wito kwa watayarishaji wenzake kufanya kazi kwa bidii ili nchi yetu iwe inawawakilishi wengi katika tuzo mbalimbali za kimataifa. Sheddy ambaye ametayarisha hit song ya Diamond ‘Number One’ iliyomfungulia mafanikio […]

 

10 years ago

Habarileo

Watu 191,844 waomba kazi Sekretarieti ya Ajira

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.OFISI ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imepokea maombi ya kazi 191,844 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2010 hadi Septemba, mwaka jana.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Wanachadema 284 kuwania nafasi 18

Makada 284 wa Chadema wamerejesha fomu za kuomba kugombea nafasi 18 za uongozi wa Taifa wa chama hicho, huku watu wawili zaidi wakijitokeza ‘kupimana kifua’ na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE JITOKEZENI KUWANIA NAFASI YA URAS- TGNP

Mwanaharakati  wa TGNP  kutoa kijiji  cha   Ifiga kata ya Ijombe Mbeya  Bi . Flora Mathias Mlowezi akifafanua  jambo  wakati  wa mafunzo ya  wanahabari juu ya wajibu  wa  wanawake na  vijana kujitokeza katika kuwania nafasi za  uongoziwashiriki  wa  mafunzo ya  TGNP kwa  wanahabari wa mikoa ya nyanda za juu kusini wakisikiliza kwa makini mada mbali mbali zilizokuwa  zikitolewa katika mafunzo  hayo.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani