NAFASI ZA AJIRA KUTOKA TBS
ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA TBS KWA KUBONYEZAÂ HAPA
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jul
AJIRA: Watu 6,740 kuwania nafasi 47 za kazi TBS
Watu 6,740 leo wanatarajia kufanyiwa usaili wa kuwania nafasi 47 zilizotangazwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Aprili, mwaka huu.
11 years ago
Michuzi29 Jul
9 years ago
MichuziTOVUTI YA NAFASI ZA AJIRA YAZINDULIWA JIJINI LEO
Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akimpa maua balozi mpya wa Owbaz, Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’ katika hafla ya uzinduzi rasmi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Cosmos, Muhammad Owais Pardesi na Mkurugenzi Rasilimali Watu wa kampuni ya bima ya Aris, Paritosh Bajaria. Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa...
10 years ago
MichuziWAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA YATOA NAFASI 44 ZA AJIRA
Taasisi ya Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) iliyo chini ya Wizara ya Nishati na Madini(MEM) imetoa nafasi arobaini na nne (44) za ajira kwa watanzania kupitia Ofisi ya Rais sekreterieti ya ajira utumishi wa umma.
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Tuna nafasi ya kutengeneza ajira zaidi ya wanaume
Hivi karibuni Taasisi ya Kimataifa ya Global Entrepreneurship Monitor (GEM), ilitoa ripoti yake kuhusiana na kuongezeka kwa idadi ya wanawake wajasiriamali duniani.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Qatar yatangaza nafasi za ajira kwa Watanzania
Serikali ya Qatar imesema iko tayari kuajiri Watanzania katika nyanja mbalimbali za kitaalamu kwa kuwa taifa hilo lina uhaba wa wataalamu katika maeneo mengi.
10 years ago
Michuzi20 Sep
10 years ago
Habarileo30 Sep
TBS yazuia shehena 125 kutoka nje
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limezuia shehena 125 zinazotoka nje ya nchi zisiingizwe sokoni, kwa sababu ya kutokidhi viwango vya ubora vya kitaifa na kimataifa.
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akipokea cheti cha ubora wa bidhaa za kampuni hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa kampuni ya viwango nchini TBS Bw. Joseph Masikitiko wakati wa utoaji wa vyeti hivyo uliofanyika katika ofisi za TBS Dar es salaamMeneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kulia akiwa na Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu.Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania