Qatar yatangaza nafasi za ajira kwa Watanzania
Serikali ya Qatar imesema iko tayari kuajiri Watanzania katika nyanja mbalimbali za kitaalamu kwa kuwa taifa hilo lina uhaba wa wataalamu katika maeneo mengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Dec
Watanzania kunufaika na ajira Qatar - Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania watanufaika na kipato na maarifa ya teknolojia ya kisasa kutokana na ajira, ambazo watapata katika nchi ya Qatar baada ya mkataba kusainiwa hivi karibuni.
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Watanzania kunufaika na ajira Qatar- Pinda
Na Mwandishi Maalumu, Qatar
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Watanzania watanufaika na kipato na maarifa ya teknolojia ya kisasa kutokana na ajira ambazo watapata katika nchi ya Qatar baada ya mkataba kusainiwa hivi karibuni.
Hayo aliyasema jana jijini Doha, Qatar wakati akizumgumza na waandishi wa habari ili kuwapa taarifa fupi juu ya mambo yaliyojiri katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Abdulla Nasser Al Thani.
Katika mazungumzo hayo ambayo...
11 years ago
Michuzi29 Jul
10 years ago
GPLORIFLAME TANZANIA YATOA AJIRA KWA VIJANA 60,000 NCHINI- YATANGAZA BIDHAA ZAKE MPYA
11 years ago
Michuzi12 Mar
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU WAPYA MWAKA 2013/14
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
![](https://3.bp.blogspot.com/-Twf6T849VFA/Ux61eMEbO7I/AAAAAAACrNU/wKcyjApmjL4/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s72-c/download.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KATIKA JESHI LA MAGEREZA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s1600/download.jpg)
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na tangazo kuhusu nafasi za ajira katika Jeshi la Magereza linalodaiwa kuwa limetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza na kusambazwa kwenye baadhi ya Mitandao ya kijamii. Umma unajulishwa kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Jeshi la Magereza linapenda kuufahamisha umma kuwa ajira hutolewa na kutangazwa kupitia Vyombo vya Habari pamoja na tovuti ya Jeshi la Magereza ya www.magereza.go.tz
Hivyo, Jeshi la Magereza linawatahadharisha Wananchi wote...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YAYATAKA MAKAMPUNI KUACHA KUTOA NAFASI NYINGI ZA AJIRA KWA WAGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbY6mNfgXPQ/VGhg9QMLkvI/AAAAAAAGxmY/9cQC8-lrW_o/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)