6,740 wasailiwa kujaza nafasi 47
TAASISI na idara za Serikali zimeendelea na utaratibu mbovu wa kuajiri kwa kuita wasailiwa wengi kwa nafasi chache walizotangaza, ulioasisiwa na Idara ya Uhamiaji. Jana Shirika la Viwango Tanzania (TBS), lilianza kuwafanyia usaili watu 6,740 kwa ajili ya kuwania nafasi 47 tu zilizowazi, zilizotangazwa Aprili mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jul
AJIRA: Watu 6,740 kuwania nafasi 47 za kazi TBS
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s72-c/Untitled17.png)
WASAILIWA 1,281 KUINGIA DURU YA MWISHO YA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF IMMIGRATION)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s1600/Untitled17.png)
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza.
Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DHkjcS3yXKs/U0_H_e1ot6I/AAAAAAAFbfI/i1yryK3U_rA/s72-c/download.jpg)
JK AFANYA UTEUZI WA MABALOZI KUJAZA NAFASI ZILIZO WAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DHkjcS3yXKs/U0_H_e1ot6I/AAAAAAAFbfI/i1yryK3U_rA/s1600/download.jpg)
1. Balozi Dora Mmari Msechu (kushioto); ameteuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Stockholm, Sweden. Hadi uteuzi huu unafanyika Balozi Dora Mmari Msechu ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na...
9 years ago
Michuzi24 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI
![pombe](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pombe1.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gZqCiFX07-o/VoEudkOht8I/AAAAAAAAsvE/UIytqp8mc88/s72-c/01..jpg)
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU WAZIRI ALIOWATEUA KUJAZA NAFASI ZILIZOSALIA, IKULU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-gZqCiFX07-o/VoEudkOht8I/AAAAAAAAsvE/UIytqp8mc88/s640/01..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GX6l7PpGWcs/VoEvB7T8KFI/AAAAAAAAswc/pbOgdXRVtOQ/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eN6k8naWcow/VoEucFgu1TI/AAAAAAAAsu8/eYQ79baNsEc/s640/02.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6QosnuZJwO4/XvXTozilEkI/AAAAAAACOg0/AFDK_kN_O70WBRchwK1wbuA1W5G4gwYmwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
MAWAKILI WATARAJIWA WASAILIWA KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6QosnuZJwO4/XvXTozilEkI/AAAAAAACOg0/AFDK_kN_O70WBRchwK1wbuA1W5G4gwYmwCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa mara ya kwanza amewafanyia usaili wahitimu wa taaluma ya Sheria kwa ajili ya kuwapokea na kuwakubali kuwa Mawakili kwa njia ya Mtandao ‘Video...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Kadi za CBA kutumika kujaza mafuta
BENKI ya Biashara ya Afrika (CBA) imetoa kadi maalumu za kujaza mafuta malori katika nchi mbalimbali barani Afrika. Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Benki kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZjUBIw6Q5Y/VfbH7s170fI/AAAAAAAH4v8/HrZlqsrgK0k/s72-c/aitv.png)
9 years ago
Bongo524 Oct
Cassper Nyovest apanga kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 Oct 1
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10