JK AFANYA UTEUZI WA MABALOZI KUJAZA NAFASI ZILIZO WAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DHkjcS3yXKs/U0_H_e1ot6I/AAAAAAAFbfI/i1yryK3U_rA/s72-c/download.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Mabalozi ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi na Mabalozi wastaafu kwa mujibu wa sheria.
Mabalozi wateule na aliyehamishwa kituo ni kama ifuatavyo:
1. Balozi Dora Mmari Msechu (kushioto); ameteuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Stockholm, Sweden. Hadi uteuzi huu unafanyika Balozi Dora Mmari Msechu ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi24 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI
![pombe](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pombe1.jpg)
11 years ago
Habarileo01 Aug
6,740 wasailiwa kujaza nafasi 47
TAASISI na idara za Serikali zimeendelea na utaratibu mbovu wa kuajiri kwa kuita wasailiwa wengi kwa nafasi chache walizotangaza, ulioasisiwa na Idara ya Uhamiaji. Jana Shirika la Viwango Tanzania (TBS), lilianza kuwafanyia usaili watu 6,740 kwa ajili ya kuwania nafasi 47 tu zilizowazi, zilizotangazwa Aprili mwaka huu.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gZqCiFX07-o/VoEudkOht8I/AAAAAAAAsvE/UIytqp8mc88/s72-c/01..jpg)
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU WAZIRI ALIOWATEUA KUJAZA NAFASI ZILIZOSALIA, IKULU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-gZqCiFX07-o/VoEudkOht8I/AAAAAAAAsvE/UIytqp8mc88/s640/01..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GX6l7PpGWcs/VoEvB7T8KFI/AAAAAAAAswc/pbOgdXRVtOQ/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eN6k8naWcow/VoEucFgu1TI/AAAAAAAAsu8/eYQ79baNsEc/s640/02.jpg)
11 years ago
MichuziUTEUZI WA NAIBU MABALOZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-eDGvspC8lnM/U5hRXXrCURI/AAAAAAAAUWY/_ft0Wg8Hw4k/s1600/marwa.jpg)
Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kahendaguza alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
Habarileo26 Jan
Rais afanya uteuzi
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Masha Musomba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U5RX27b8Smg/XmCMPtME4sI/AAAAAAAAm_8/YFcguJxSEpEOPapC7HAtcOm64pKwBAK7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0004.jpg)
9 years ago
CCM Blog01 Nov
JK AFANYA UTEUZI MAKATIBU WAKUU WANNE
Aidha, Rais Kikwete amewateua Naibu Makatibu Wakuu wapya watano, amewateua Makatibu Tawala wa Mikoa wawili na pia amewahamisha Naibu Makatibu Wakuu wawili.
Kwa mujibu wa uteuzi huo, Rais Kikwete amemteua Ndugu Hab Mkwizu kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma; Profesa Elisante Ole Gabriel kuwa Katibu...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Kikwete afanya uteuzi Mambo ya Ndani
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Seperatus Fella kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Kamati ya Kuzuia Biashara Haramu ya Binadamu. Kabla ya uteuzi huo, Fella alikuwa Kaimu Katibu wa Kamati hiyo na uteuzi wake ulianzia Agosti mwaka huu.
5 years ago
CCM Blog
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10