Kikwete afanya uteuzi Mambo ya Ndani
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Seperatus Fella kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Kamati ya Kuzuia Biashara Haramu ya Binadamu. Kabla ya uteuzi huo, Fella alikuwa Kaimu Katibu wa Kamati hiyo na uteuzi wake ulianzia Agosti mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Oct
11 years ago
Michuzi9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI KATIKA MAHAKAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi katika Mahakama kama ifuatavyo;Rais amemteua Bi. Katarina Revocati kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania (Chief Registrar). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Rais pia amemteua Ndugu John Rugalema Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani na kabla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s72-c/images%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s1600/images%2B(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-csbd4p7wS1A/U2iYgocCeOI/AAAAAAAFf1U/orIlMLtxMqM/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MTENDAJI MKUU WA MAMLAKA YA UDHIBITI NA UNUNUZI WA UMMA (PPRA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-csbd4p7wS1A/U2iYgocCeOI/AAAAAAAFf1U/orIlMLtxMqM/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Dkt. Shirima ni Mkurugenzi wa kujenga Uwezo wa Huduma za Ushauri (Capacity Building and Advisory Service-PPRA) na pia ndiye anaye kaimu nafasi ya Mtendaji Mkuu wa PPRA.
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 2 Mei, 2014.
Imetolewa na;
Premi Kibanga, Mwandishi wa Habari wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzt*zl72rtuJ-bWdIeTeYjCKCKCQb3jUvriWtZYt6cf5VZ-VLauQAyoB3FV-I3BgIJBkUFMnOf3Uhte4ckm*GBlL/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MAKATIBU TAWALA WAPYA MIKOA MITANO NA KUHAMISHA WENGINE WAKIWEMO WAKURUGENZI WA MAJIJI
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mh. Ridhiwani Kikwete afanya mambo makubwa jimbo la Chalinze
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwani wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/36.jpg)
MH. RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAMBO MAKUBWA JIMBO LA CHALINZE
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI