RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MTENDAJI MKUU WA MAMLAKA YA UDHIBITI NA UNUNUZI WA UMMA (PPRA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-csbd4p7wS1A/U2iYgocCeOI/AAAAAAAFf1U/orIlMLtxMqM/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt Laurent M. Shirima kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti na Ununuzi wa Umma (PPRA).
Dkt. Shirima ni Mkurugenzi wa kujenga Uwezo wa Huduma za Ushauri (Capacity Building and Advisory Service-PPRA) na pia ndiye anaye kaimu nafasi ya Mtendaji Mkuu wa PPRA.
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 2 Mei, 2014.
Imetolewa na;
Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog06 May
JK amteua Dkt Laurent M. Shirima kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti na Ununuzi wa Umma (PPRA)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt Laurent M. Shirima kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti na Ununuzi wa Umma (PPRA).
Dkt. Shirima ni Mkurugenzi wa kujenga Uwezo wa Huduma za Ushauri (Capacity Building and Advisory Service-PPRA) na pia ndiye anaye kaimu nafasi ya Mtendaji Mkuu wa PPRA.
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 2 Mei, 2014.
Imetolewa na;
Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais...
10 years ago
Michuzi20 May
PPRA YAIKABIDHI UTUMISHI TUZO YA UTENDAJI ULIOTUKUKA KATIKA ENEO LA UNUNUZI WA UMMA
![mi1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/mi1.jpg)
10 years ago
VijimamboPPRA YAKABIDHI UTUMISHI TUZO YA UTENDAJI ULIOTUKUKA KATIKA ENEO LA UNUNUZI WA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sgqVYCtng1Y/VVxvR8dpVsI/AAAAAAAAgbI/yamH4pk8LVU/s640/tuzoppra1.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Apr
Rais ateua Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.
11 years ago
Michuzi13 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s72-c/images%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s1600/images%2B(1).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI KATIKA MAHAKAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi katika Mahakama kama ifuatavyo;Rais amemteua Bi. Katarina Revocati kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania (Chief Registrar). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Rais pia amemteua Ndugu John Rugalema Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani na kabla ya...
11 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi24 Oct