MAWAKILI WATARAJIWA WASAILIWA KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6QosnuZJwO4/XvXTozilEkI/AAAAAAACOg0/AFDK_kN_O70WBRchwK1wbuA1W5G4gwYmwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akiwa ofisini kwake Jijini Dar es Salaam akimfanyia usaili mhitimu wa Shule ya Sheria kwa njia ya mtandao maarufu kama ”Video Conference” ikiwa ni maandalizi ya kuapishwa kuwa Wakili .
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa mara ya kwanza amewafanyia usaili wahitimu wa taaluma ya Sheria kwa ajili ya kuwapokea na kuwakubali kuwa Mawakili kwa njia ya Mtandao ‘Video...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0UZX7rQTYVs/XvXe4pDJYVI/AAAAAAALvgc/szFzu4NtLtQGMH90qVd_SsxDUPOrvbx4ACLcBGAsYHQ/s72-c/c0918d61-b733-4701-8859-4b03bd9a5dd3.jpg)
MAWAKILI WATARAJIWA WAHOJIWA KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0UZX7rQTYVs/XvXe4pDJYVI/AAAAAAALvgc/szFzu4NtLtQGMH90qVd_SsxDUPOrvbx4ACLcBGAsYHQ/s640/c0918d61-b733-4701-8859-4b03bd9a5dd3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cb8de13e-0512-4a23-aed6-560bce628688.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ai6X3FWhHqE/VTJaP5OMUoI/AAAAAAAHRzo/R0wE5fZFsAA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
UMOJA WA TAASISI ZA HIJJA ZANZIBAR ZAANDAA KONGAMANO KWA MAHUJAJI WATARAJIWA
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Taarifa kwa wabunge na wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wa 2015 Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-K3VlwnTeLGc/U_SIIRglI4I/AAAAAAAAWEI/ZiC9pEu0eIs/s1600/Newala%2B2.jpg)
Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais unatarajia kufanyika hapo mwakani, Wabunge na wanaotaka kuwania Ubunge katika majimbo mbalimbali nchini hata urais mnakaribishwa kuandaa TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA VYAMA VYENU.
Kitabu kama hicho kitakuwezesha wewe Mgombea kutotumia nguvu kuubwa ya kujinadi badala yake utavigawa kwa wananchi mbalimbali jimboni kwako nawe kuelewa nini umewafanyia katika kipindi ambacho ulikuwa madarakani.
Pia wagombea wapya pia wanaweza andaa vitabu kama hivi...
11 years ago
Habarileo01 Aug
6,740 wasailiwa kujaza nafasi 47
TAASISI na idara za Serikali zimeendelea na utaratibu mbovu wa kuajiri kwa kuita wasailiwa wengi kwa nafasi chache walizotangaza, ulioasisiwa na Idara ya Uhamiaji. Jana Shirika la Viwango Tanzania (TBS), lilianza kuwafanyia usaili watu 6,740 kwa ajili ya kuwania nafasi 47 tu zilizowazi, zilizotangazwa Aprili mwaka huu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IMGtiEuatL4/VCKnG3KD5UI/AAAAAAAGleU/x9_TP60UpWo/s72-c/unnamed%2B(76).jpg)
NBC WAKUTANA NA MAWAKILI WA MAKAMPUNI MBALIMBALI KWA LENGO LA KUFAHAMIANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IMGtiEuatL4/VCKnG3KD5UI/AAAAAAAGleU/x9_TP60UpWo/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D66mdgF4vgw/VCKnH8b7w7I/AAAAAAAGlec/sIZRk0S0maU/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LcbHbLBU0FY/XsKGVSukiOI/AAAAAAALqq0/RQPmXVHwtN4RhXZXxc-BTwiB78SPa5ubQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.37.51%2BPM.jpeg)
WANAOTUHUMIWA KWA MAKOSA 667 WAWATUHUMU MAWAKILI WA SERIKILI KUSEMA UONGO MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LcbHbLBU0FY/XsKGVSukiOI/AAAAAAALqq0/RQPmXVHwtN4RhXZXxc-BTwiB78SPa5ubQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.37.51%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vE4wyvqDQ8g/XsKGU9l0dyI/AAAAAAALqqw/tzAkByH2KZcHkH1aOh0bgkNUEdjAhSvHACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.37.53%2BPM.jpeg)
MSHTAKIWA Yared Jonas anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu yenye mashtaka 667 likiwemo la wizi wa Umeme pamoja na wenzake wanne amedai kuwa hawakuwahi kutegemea kusikia mawakili wa serikali wanasema uongo mahakamani.
Mbali na Jonas, washtakiwa wengine ni Emilian Mlowe, Bashiru Ngella, Shakira Ngella na Mkama Maira.
Jonas amedai anashangaa kuona wanawabadirishia...
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Uchaguzi mkali watarajiwa Brazil
9 years ago
BBCSwahili16 Aug
Mkataba wa amani wa Sudan-K watarajiwa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s72-c/Untitled17.png)
WASAILIWA 1,281 KUINGIA DURU YA MWISHO YA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF IMMIGRATION)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s1600/Untitled17.png)
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza.
Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...