NBC WAKUTANA NA MAWAKILI WA MAKAMPUNI MBALIMBALI KWA LENGO LA KUFAHAMIANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IMGtiEuatL4/VCKnG3KD5UI/AAAAAAAGleU/x9_TP60UpWo/s72-c/unnamed%2B(76).jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa Benki ya NBC, Pius Tibarazwa, akizungumza katika hafla waliyowaandalia wanasheria kutoka makampuni mbalimbali ili kufahamiana na wafanyakazi wa NBC na pia kuwapa maelezo ya huduma za kibenki zinazotolewa katika kitengo cha huduma binafsi za kibenki kwa wateja wakubwa cha benki hiyo. Hafla hiyo ilifanyika katika kitengo hicho kilichopo ndani ya Jengo la Coco Plaza, Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa Benki ya NBC, Pius Tibarazwa (katikati),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsICmzAsgek/VZerp2fybmI/AAAAAAAHmxQ/XCfHAQjeRJ4/s72-c/IMG_3826.jpg)
DCB BENKI WATOA HISA KWA MAKAMPUNI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsICmzAsgek/VZerp2fybmI/AAAAAAAHmxQ/XCfHAQjeRJ4/s640/IMG_3826.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tf6KfxJ5djs/VZeszUT5tFI/AAAAAAAHmxg/jSnUa_YwiEA/s640/IMG_3793.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YnnJ5KDsybM/VZesKq5PJqI/AAAAAAAHmxY/WNfJH15RJyk/s640/IMG_3832.jpg)
10 years ago
MichuziPPF YAENDESHA SEMINA KWA MAAFISA WA MAKAMPUNI MBALIMBALI KATIKA (KANDA YA KINONDONI) MKOA WA TANGA LEO
Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF kanda ya Kinondoni (inayojumuisha wilaya za Kibaha,Bagamoyo na mkoa wa Tanga),Bi. Zahra Kayugwa akizungumza na washiriki wa semina ya Mfuko wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika (Kanda ya Kinondoni) mkoa wa Tanga leo.
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Benki ya Exim yadhamini michuano ya Gofu kwa maafisa watendaji wakuu kutoka makampuni mbalimbali viwanja vya Lugalo
Meneja Msaidizi wa Uwekezaji na Biashara Kubwa wa Benki ya Exim, Thobius Samwel (wa kwanza kushoto) akitoa maelezo juu ya huduma za kibenki zitolewazo na benki yake kwa washiriki wa shindano la Gofu liloandaliwa kwa watendaji wakuu wa makampuni mbali mbali jijini Dar es Salaam lililofanyika katika viwanja vya Gofu vya Lugalo, mwishoni mwa wiki jijini Dar Es Salaam. Kushoto ni Afisa Mauzo, wa benki hiyo Bw. Ishaq Samailla. Benki ya Exim ilikuwa miongoni mwa wadhamini.
Meneja Msaidizi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X5hLW93jc8Q/VQ5tUH0E47I/AAAAAAAHMEs/3LNIgDYW0B4/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Wafanyakazi wa NBC wakutana kujengana uwezo na mshikamano
![](http://4.bp.blogspot.com/-X5hLW93jc8Q/VQ5tUH0E47I/AAAAAAAHMEs/3LNIgDYW0B4/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u1X8WIlYsjw/VQ5tUl3QZTI/AAAAAAAHMD0/Ca3s0BoEhNU/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b-wnoRRqqHA/VQ5tVb_BISI/AAAAAAAHMD8/-WpN7iemZFE/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GlERIQTX2GA/VQ5tWNU4ymI/AAAAAAAHMEA/pl3h2Lj7u6U/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
11 years ago
Michuzi20 Jul
MABONDIA WAKUTANA NA KUUNDA UMOJA WA KUSAIDIANA KATIKA MAMBO MBALIMBALI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
UN wakutana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kujadili ushirikiano†baina yao
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkazi wa WFP nchini Bw.Richard Ragan (katikati) pamoja na Mwakilishi wa mkazi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Rufaro Chatora (kulia) kabla ya kuanza kwa mkutano wa kuboresha ushirikiano kati ya Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Shirika la Umoja wa...
10 years ago
GPLUN WAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI KUJADILI USHIRIKIANO BAINA YAO