Taarifa kwa wabunge na wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wa 2015 Tanzania
Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais unatarajia kufanyika hapo mwakani, Wabunge na wanaotaka kuwania Ubunge katika majimbo mbalimbali nchini hata urais mnakaribishwa kuandaa TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA VYAMA VYENU.
Kitabu kama hicho kitakuwezesha wewe Mgombea kutotumia nguvu kuubwa ya kujinadi badala yake utavigawa kwa wananchi mbalimbali jimboni kwako nawe kuelewa nini umewafanyia katika kipindi ambacho ulikuwa madarakani.
Pia wagombea wapya pia wanaweza andaa vitabu kama hivi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAARIFA KWA UMMA: UDASA na ITV Kuandaa Midahalo ya Wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015
Picha na Venance Nestory.
1. Katika nchi za kidemokrasia, midahalo ya wagombea imekuwa ni sehemu muhimu katika...
9 years ago
VijimamboMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) YAKATAZA KURUSHA CHOPA BILA KIBALI KWA WAGOMBEA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2015
9 years ago
Michuzi10 years ago
GPLCHADEMA WATOA UTARATIBU UTEUZI WA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2015
10 years ago
Michuzi14 May
9 years ago
VijimamboTAARIFA YA TATHIMINI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA WAGOMBEA KWA TIKETI YA CCM.
Hadi jana, tarehe 16 September 2015, Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa 12 na Majimbo 94. Amekwishafanya mikutano mikubwa ya hadhara 76 na mikutano ya barabarani 381. Amekwishatembea, kwa gari, jumla ya kilomita 13,720. Kwa ujumla amekwishakutana, moja kwa moja, na asilimia zaidi ya 30 ya wapiga kura. Kwa kuwa baadhi ya mikutano yetu inatangazwa moja kwa moja na redio za kijamii na luninga, wapiga kura...
9 years ago
MichuziTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 11 Septemba, 2015 kuhusu vipindi vinavyorushwa moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi
mkuu. Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Oct
TAARIFA YA MWENYEKITI WA ZEC MHE. JECHA SALIM JECHA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2015
http://zec.go.tz/en/?p=1673
The post TAARIFA YA MWENYEKITI WA ZEC MHE. JECHA SALIM JECHA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI MKUU 2015 appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo12 Oct
Taarifa juu ya midahalo ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 12, 2015
Kwa sasa mashirika ya CEO Roundtable Tanzania, Tanzania Media Foundation (TMF), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), na Twaweza wameungana katika kuendeleza juhudi za kufanikisha...