Kutakatisha fedha ni haramu
Mtoto wa mfanyabiashara haramu wa kutakatisha fedha nchini Marekani amefariki dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mkombozi Benki: Hatuhusiki kutakatisha fedha
10 years ago
Habarileo13 Mar
Biashara ya fedha haramu yakithiri
KUSHAMIRI kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Tanzania kinara udhibiti utakatishaji fedha haramu
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika, ambazo zimeimarisha mifumo yake ya ndani ya kudhibiti utakatishaji wa fedha haramu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hmiWbmmAb5I/VEeg33GYwgI/AAAAAAACtUk/Vl4lTbRcNkY/s72-c/New%2BPicture.png)
KUIMARIKA KWA MFUMO WA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hmiWbmmAb5I/VEeg33GYwgI/AAAAAAACtUk/Vl4lTbRcNkY/s1600/New%2BPicture.png)
WIZARA YA FEDHA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUIMARIKA KWA MFUMO WA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanachama mwanzilishi wa Umoja wa Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kudhibiti Fedha Haramu (The Eastern and Southern Africa Anti - Money Laundering Group (ESAAMLG)) ulioanzishwa mwaka 1999, kwa lengo la kuweka mikakati ya pamoja ya kudhibiti fedha haramu na ufadhili wa ugaidi kwa nchi za Mashariki na Kusini...
10 years ago
Mtanzania22 Jan
Wakili Mwale asomewa mashtaka 42 ya utakatishaji fedha haramu
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
WAKILI maarufu jijini Arusha, Medium Mwale na wenzake watatu, wamesomewa mashtaka 42 yanayohusu utakatishaji wa fedha haramu, kughushi nyaraka na kukutwa na mali zilizopatikana kwa njia za uhalifu.
Watuhumiwa hao walisomewa mashtaka ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mustapha Siyani kabla ya kesi hiyo haijapelekwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha kwa kuanza kusikilizwa.
Akisoma maelezo hayo ya awali, Wakili...
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-r-4IQ41CIgA/VRxGbqPNwlI/AAAAAAABqYs/JcfL5utTKRA/s72-c/20150308_091632.jpg)
Maafisa wa Upelelezi Kisiwani Pemba wakiwa katika mafunzo kuhusiana na Utakasishaji wa Fedha Haramu
![](http://3.bp.blogspot.com/-r-4IQ41CIgA/VRxGbqPNwlI/AAAAAAABqYs/JcfL5utTKRA/s640/20150308_091632.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kX_Q26Ld6hU/VRxGbNEaSmI/AAAAAAABqYk/z7nMh-1kZW8/s640/20150331_093906.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Apr
Rais ateua Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...