Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutakatisha fedha ni haramu

Mtoto wa mfanyabiashara haramu wa kutakatisha fedha nchini Marekani amefariki dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkombozi Benki: Hatuhusiki kutakatisha fedha

Benki ya Biashara ya Mkombozi imesema, haihusiki na utakatishaji fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni

 

10 years ago

Habarileo

Biashara ya fedha haramu yakithiri

Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Rished Bade KUSHAMIRI kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania kinara udhibiti utakatishaji fedha haramu

TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika, ambazo zimeimarisha mifumo yake ya ndani ya kudhibiti utakatishaji wa fedha haramu.

 

10 years ago

Michuzi

KUIMARIKA KWA MFUMO WA KUDHIBITI FEDHA HARAMU



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI                    KUIMARIKA KWA MFUMO WA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanachama mwanzilishi wa Umoja wa Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kudhibiti Fedha Haramu (The Eastern and Southern Africa Anti - Money Laundering Group (ESAAMLG)) ulioanzishwa mwaka 1999,  kwa lengo la kuweka mikakati ya pamoja ya kudhibiti fedha haramu na ufadhili wa ugaidi kwa nchi za Mashariki na Kusini...

 

10 years ago

Mtanzania

Wakili Mwale asomewa mashtaka 42 ya utakatishaji fedha haramu

NA JANETH MUSHI, ARUSHA
WAKILI maarufu jijini Arusha, Medium Mwale na wenzake watatu, wamesomewa mashtaka 42 yanayohusu utakatishaji wa fedha haramu, kughushi nyaraka na kukutwa na mali zilizopatikana kwa njia za uhalifu.
Watuhumiwa hao walisomewa mashtaka ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mustapha Siyani kabla ya kesi hiyo haijapelekwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha kwa kuanza kusikilizwa.
Akisoma maelezo hayo ya awali, Wakili...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju

Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi za Mwanasheria Mkuu za Singida,Pwani na Dar es Salaam wakifuatilia mafunzo kwa makini.Washiriki wa Mafunzo wakifuatilia hotuba ya ufunguzi ya ufunguzi wa kutoka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (hayupo pichani) kushoto ni Bw. Denis Mongula kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Bi Rhoda Martin ,Hakimu Mkazi Mahakama ya Wilaya Dodoma akitoa neno la shukrani mara baada ya mafunzo hayo kufunguliwa rasmi.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

Maafisa wa Upelelezi Kisiwani Pemba wakiwa katika mafunzo kuhusiana na Utakasishaji wa Fedha Haramu

Baadhi ya Maafisa Upelelezi Kisiwani Pemba, wakisikiliza maelezo ya kina kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Yussuf Ali , katika Mafunzo ya Mapambano juu ya fedha Haramu huko katika Ukumbi waHifadhi Pemba ,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba,ambae pia ni Msaidizi Kamishna wa Poliisi , Juma Yussuf Ali, akifunguwa mafunzo wa Maafisa wa Upelelezi wa Jeshi hilo Kisiwani Pemba , kuhusiana na Utakasishaji waFedha Haramu , iliofanyika katika ukumbi wa Hifadhi Hotel Chake Chake...

 

10 years ago

Michuzi

Rais ateua Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Kissiok Ole Mbille Lukumay kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma.

Aidha, Rais Kikwete amemteua Bwana Onesmo Hamis Makombe kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Taarifa iliyotolewa Alhamisi, mjini Dar es Salaan na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa maofisa hao wawili ulianza Ijumaa ya Machi 27, 2015.

Kabla ya uteuzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia

SAM_0161

Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.

SAM_0148

Ofisa Uvuvi Mfawidhi Kituo cha kuendeleza ufugaji samaki kanda ya kati, Bwana Renatus Charles Karumbete akitoa maelezo ya namna samaki wanavyozalishwa katika kituo hicho.

Na. Jumbe Ismailly

[IGUNGA] Kituo  cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani