Wakili Mwale asomewa mashtaka 42 ya utakatishaji fedha haramu
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
WAKILI maarufu jijini Arusha, Medium Mwale na wenzake watatu, wamesomewa mashtaka 42 yanayohusu utakatishaji wa fedha haramu, kughushi nyaraka na kukutwa na mali zilizopatikana kwa njia za uhalifu.
Watuhumiwa hao walisomewa mashtaka ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mustapha Siyani kabla ya kesi hiyo haijapelekwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha kwa kuanza kusikilizwa.
Akisoma maelezo hayo ya awali, Wakili...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
MTUMISHI WA BENKI YA BOA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA SABA YA WIZI, UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qoBytkvHX7c/XrP591TREOI/AAAAAAALpZQ/catm5v4ZwykIX_SiMoj5Sa3sqGUU9NvwACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.08.48%2BPM.jpeg)
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali Mwandamizi Anna Chimpaye amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kuwa mshtakiwa ametenda makosa ya wizi akiwa mtumishi katika tarehe tofauti tofauti kuanzia Januari 2017 hadi Novemba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LI9Aei6LUug/Xt-nlLifuQI/AAAAAAALtNg/LQCLcr5OOoQyC92Rn7ZEuNrutlLizBJJACLcBGAsYHQ/s72-c/294.jpg)
MKAZI WA DODOMA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA MASHTAKA MAWILI LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI FEDHA
Mshtakiwa Nachipyangu, amesomewa mashtaka yake leo Juni 10, 2020 Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Kasian Matembele.
Imedaiwa kuwa, April 24, 2015 huko katika benki ya CRDB tawi la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, mshtakiwa kwa njia ya udanganyifu alijipatia USD 14,320...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Tanzania kinara udhibiti utakatishaji fedha haramu
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika, ambazo zimeimarisha mifumo yake ya ndani ya kudhibiti utakatishaji wa fedha haramu.
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mansour asomewa mashtaka matatu
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mchungaji Msigwa kizimbani, asomewa mashtaka
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Diwani Bukoba asomewa mashtaka akiwa Hospitali
10 years ago
Habarileo22 Jan
Mwale na wenzake wasomewa mashtaka
MWANASHERIA na wakili maarufu wa kujitegemea wa jijini hapa, Medium Mwale anayemiliki kampuni ya uwakili ya JJ Mwale Advocates na wenzake watatu jana walisomewa mashitaka mapya 42 ya utakatishaji fedha haramu, kula njama na kughushi baadhi ya nyaraka na kujipatia kiasi cha Sh bilioni 18.
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wakili: Kesi ya Mwale ilifunguliwa kimakosa
UPANDE wa utetezi kwenye kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu ya kutakatisha fedha haramu, umedai mashitaka hayo dhidi ya washitakiwa, yalifunguliwa kimakosa kabla ya sheria iliyowashitaki kutungwa.