Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKOMBOZI BENKI YASHEREKEA KUTIMIZA MIAKA 5 TOKEA IMEANZISHWA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe akiongea na waandishi wa habari waliofika katika hafla ya benki hiyo kufikisha miaka mitano tokea imeanzishwa. Aliongeza kuwa benki hiyo ilianzishwa kwa lengo la kutoa huduma za kibenki sanjari na kushughulika na matatizo ya kiuchumi kwa jamii katika nyanja mbalimbali.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Edwina Lupembe akikazi msisitizo mbaye ya waandishi wa habari.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Pongezi kwa JWTZ kwa kutimiza miaka 50 tokea kuanzishwa

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa kwenye maonyesho Katika Uwanja wa Taifa.Picha na Maktaba.

1

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa mazoezini.

Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog.

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo limetimiza Miaka 50 toka Kuanzishwa kwake mnamo tarehe 1/09/1964. JWTZ ni moja ya Jeshi lililotajwa na Mtandao mmoja hivi karibuni kuwa Ni Jeshi lenye weredi wa hali juu Duniani kutokana na Operesheni ambazo wamewahi kuzifanya na...

 

10 years ago

GPL

ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR

Rapa wa bendi hiyo, Frank Kabatano akifanya vitu vyake stejini. Waziri akimmwagia sifa Luiza Mbutu. Baadhi ya wageni waalikwa wakiserebuka.…

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2

Keki iliyoandaliwa na uongozi wa Benki ya CRDB tawi la Ubungo kwa ajili ya sherehe za kutimiza miaka 2 tangu kuanzishwa kwa tawi hilo, ambapo wateja wa benki hiyo walijumuika na wafanyakazi wa tawi hilo kusherehekea kwa pamoja.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkombozi Benki kusomesha yatima

1

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe.

Na Mwandishi wetu

Benki ya Mkombozi nchini imesema kuwa mchango wa kifedha  wanazopata  katika  shughuli za kijamii  umekuwa  wakimafanikio  makubwa  hasa  kupitia  uwekezaji wa sekta ya  elimu  Nchini, kwani  hali  hiyo  inachangia  kwa  kasi  maendeleo  ya Taifa kwa kuwa  na  wataalamu wa Nyanja  mbalimbali wenye  uwezo  mkubwa.

Taasisi  za kifeda  kama  mabenki   wamekuwa ni  wadau  wakubwa  wa mchango  huo,  hivi ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa Pensheni wa PSPF watimiza miaka 15 tokea kuanzishwa kwake

Mkurugenzi wa Idara ya Habari- Maelezo, Bw Assah Mwambene akizungumza jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari na Viongozi wa Mfuko wa Hifadhi wa Pensheni wa PSPF mapema leo katika Ukumbi wa JB Belmonte, Jijini Dar Es Salaam.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa pensheni wa PSPF, Bw Adam Mayingu akizungumzia mafanikio ya mfuko wa PSPF katika kipindi cha Miaka 15 tokea kuanzishwa kwake katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa JB Belmonte Jijini Dar.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkombozi Benki: Hatuhusiki kutakatisha fedha

Benki ya Biashara ya Mkombozi imesema, haihusiki na utakatishaji fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni

 

10 years ago

Mwananchi

Hisa za Benki ya Mkombozi zapaa sokoni DSE

Benki ya Biashara ya Mkombozi imejiorodhesha kwa mara ya kwanza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) na kupokewa vizuri licha ya kuzungukwa na wingu zito la sakata la ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani