Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi

WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

WAJA kusomesha wanafunzi 20

TAASISI ya WAJA imeahidi kuwasomesha bure kuanzia kidato cha tano hadi cha sita wanafunzi 20 wanaotoka kwenye familia duni na yatima waliofaulu katika mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

Wanafunzi Tisa (9) -Wahitimu mafunzo ya uuguzi na ukunga

Rasilimali watu ni changamoto kubwa inayoikabili sekta ya afya nchini Tanzania. Upungufu huu unaathiri mfumo wa utoaji huduma bora na kwa wakati kwa wahitaji. Upungufu wa wahudumu wa afya  wenye ujuzi unaathiri ngazi zote za huduma na hasa vijijini. Kutokana  na wauguzi wakunga kuwa kiini katika utoaji  huduma za afya   vijijini na mijini kwa ujumla,  kuna umuhimu wa  wakunga hawa kupata elimu ya ujuzi  wa kutosha ili waweze kuwafikia wahitaji zaidi ya asilimia  sabini (70%)  ya  jumla ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Compassion kusomesha wanafunzi 70,000

SHIRIKA la kimataifa la Compassion linatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 41 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 katika shule na vyuo mbalimbali ndani...

 

11 years ago

GPL

CHUO FEKI CHA UUGUZI CHAFUNGWA, WANAFUNZI WAHAHA

Wanafunzi wa Chuo cha Uuguzi cha Huruma ya Mungu Yatosha kilichogundulika kuwa ni feki katika kata ya Nyehunge wilayani Sengerema wakiwa ndani ya darasa lao huku wakiwa wamejawa na majonzi baada ya kutapeliwa.
Jengo la chuo feki cha Uuguzi (nursing) cha Huruma ya Mungu Yatosha  kilichopo kata ya Nyehunge wilayani Sengerema.…

 

10 years ago

Mwananchi

Taasisi ya Mkapa kusomesha wanafunzi 890

 Taasisi ya Benjamin William Mkapa itafadhili wanafunzi 890 kutoka halmashauri 137 nchini ili kujiunga na vyuo vikuu 93 vya afya katika mwaka wa masomo unaoanza 2014 hadi 2016.

 

10 years ago

Michuzi

PSPF YATOA SEMINA KWA WANAFUNZI WA CHUO CHA UUGUZI MANYARA

  Afisa Mfawidhi wa Mfuko wa PSPF mkoani Manyara Bw. Said Ismail akitoa mada kwa wanafunzi wa chuo cha Afya Huydom, mkoani Manyara. Moja ya jukumu la PSPF ni kutoa elimu juu ya PSPF na sekta nzima ya hifadhi ya jamii, PSPF inaendelea kutoa semina kwa vyuo mbalimbali nchini.Wanafunzi wa chuo cha Afya Huydom, mkoani Manyara. Afisa Mfawidhi wa Mfuko wa PSPF mkoani Manyara Bw. Said Ismail, wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa chuo cha Afya Huydom, mkoani Manyara.

 

11 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

MLOGANZILA YAADHIMISHA MIAKA 200 YA TAALUMA YA UUGUZI



Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dkt. Julieth Magandi akiwapongeza wauguzi wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani.Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi MNH-Mloganzila Sr. Redemptha Matindi akifafanua jinsi taaluma ya uuguzi inavyofanya kazi.Baadhi ya wauguzi waliohudhuria katika maadhimisho hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Wahitimu uuguzi watakiwa kuheshimu viapo vyao

WAHITIMU wa mafunzo ya ukunga na uuguzi nchini wametakiwa kuepukana na vitendo vya kuwanyanyasa wagonjwa vinavyolalamikiwa kufanywa na baadhi ya watumishi hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani