Diploma ya Uuguzi kwa Njia ya Masafa
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mkutano Mkuu wa Masafa wa ITU wakubaliana kupanga masafa ya kufuatilia Ndege Angani
Hivi ndivyo Dystem inavyofanya kazi.
Na Innocent Mungy, Geneva
Leo Jijini Geneva, Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa ITU wa Masafa umeamua na kukubaliana kutenga masafa maalumu kwa ajili ya kufuatilia ndege za abiria kokote zinapokuwa angani ili kuepusha majanga kama ya ya Malaysia iliyopotea na ambayo haijapatikana hadi leo. Uamuzi huu utakamilika mwaka 2017 ambapo mawasiliano na ndege zote za abiria zitakuwa zinajulikana zilipo.
Mkutano huu umekubaliana masafa ya bandi 1087.7-1092.3 MHz...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s72-c/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s640/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...
10 years ago
MichuziPSPF YATOA SEMINA KWA WANAFUNZI WA CHUO CHA UUGUZI MANYARA
9 years ago
MichuziUBORESHAJI WA USALAMA BARABARANI KWA USAFIRISHAJI WA MASAFA MAREFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3E2ISzuCNH4/VgWJdLK2qWI/AAAAAAAAH54/Qr8_aISR-EQ/s640/f%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-02BzRWa-KcA/VgWJdAHIEgI/AAAAAAAAH6A/ppPEjyiaLco/s640/f%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q0btNnu8MYw/VgWJfQMkglI/AAAAAAAAH6M/8C7QeT0gego/s640/f.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Mtandao wa miundombinu...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Madereva wawili mabasi ya masafa wanaswa kwa ulevi
MADEREVA wawili wa mabasi ya masafa marefu wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Singida baada ya kugundulika kutumia pombe wakati wakiwa kazini.
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Taarifa kwa umma kuhusu muingiliano wa masafa EATV na ITV
Taarifa Kwa Umma Muingliano Wa Masafa Final by moblog
9 years ago
Vijimambo20 Sep
Diamond motors yaboresha usafiri wa masafa kwa matumizi ya Fuso.
![](http://www.startrucks.co.nz/assets/Uploads/OBO1029-1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yk65fSPALw/VLZr9G3wY3I/AAAAAAAG9VA/bRHjh9LRFT0/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA TUHUMA ZA KUHAMASIHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...