Mkutano Mkuu wa Masafa wa ITU wakubaliana kupanga masafa ya kufuatilia Ndege Angani
Hivi ndivyo Dystem inavyofanya kazi.
Na Innocent Mungy, Geneva
Leo Jijini Geneva, Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa ITU wa Masafa umeamua na kukubaliana kutenga masafa maalumu kwa ajili ya kufuatilia ndege za abiria kokote zinapokuwa angani ili kuepusha majanga kama ya ya Malaysia iliyopotea na ambayo haijapatikana hadi leo. Uamuzi huu utakamilika mwaka 2017 ambapo mawasiliano na ndege zote za abiria zitakuwa zinajulikana zilipo.
Mkutano huu umekubaliana masafa ya bandi 1087.7-1092.3 MHz...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Madereva wa masafa vinara wa VVU
MAAMBUKIZI ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwenye vituo vya kulaza magari ya masafa marefu yapo juu kuliko wastani wa kitaifa, mikoa na wilaya husika. Wastani wa juu wa kitaifa ni...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Nyumbu huhama masafa marefu
NYUMBU ni mmoja wa wanyama wakubwa wanaopatikana kwa wingi barani Afrika, hasa katika eneo la Afrika Mashariki. Wanapatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki kiasi kwamba katika mbuga kama...
10 years ago
Mwananchi27 May
TCRA yaja na biashara ya masafa
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Makombora ya masafa marefu yataondoa ufisadi
VITA inayopiganwa sasa dhidi ya ufisadi ni muhimu sana na imeleta tija kubwa.
Njonjo Mfaume
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Nyumbu bingwa wa kuhama masafa marefu — (3)
WIKI iliyopita tuliona kuwa mmoja wa wanyama wanaofuatilia kwa karibu msafara wa nyumbu wanapohama ni tai. Ndege huyu mwenye macho makali hufuatilia msafara wa nyumbu kutoka angani. Sababu kubwa ya...
10 years ago
MichuziSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU
9 years ago
MichuziUBORESHAJI WA USALAMA BARABARANI KWA USAFIRISHAJI WA MASAFA MAREFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3E2ISzuCNH4/VgWJdLK2qWI/AAAAAAAAH54/Qr8_aISR-EQ/s640/f%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-02BzRWa-KcA/VgWJdAHIEgI/AAAAAAAAH6A/ppPEjyiaLco/s640/f%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q0btNnu8MYw/VgWJfQMkglI/AAAAAAAAH6M/8C7QeT0gego/s640/f.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Mtandao wa miundombinu...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Madereva wawili mabasi ya masafa wanaswa kwa ulevi
MADEREVA wawili wa mabasi ya masafa marefu wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Singida baada ya kugundulika kutumia pombe wakati wakiwa kazini.