Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano Mkuu wa Masafa wa ITU wakubaliana kupanga masafa ya kufuatilia Ndege Angani

ADS_B_System

Hivi ndivyo Dystem inavyofanya kazi.

Na Innocent Mungy, Geneva

Leo Jijini Geneva, Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa ITU wa Masafa umeamua na kukubaliana kutenga masafa maalumu kwa ajili ya kufuatilia ndege za abiria kokote zinapokuwa angani ili kuepusha majanga kama ya ya Malaysia iliyopotea na ambayo haijapatikana hadi leo. Uamuzi huu utakamilika mwaka 2017 ambapo mawasiliano na ndege zote za abiria zitakuwa zinajulikana zilipo.

Mkutano huu umekubaliana masafa ya bandi 1087.7-1092.3 MHz...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva wa masafa vinara wa VVU

MAAMBUKIZI ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwenye vituo vya kulaza magari ya masafa marefu yapo juu kuliko wastani wa kitaifa, mikoa na wilaya husika. Wastani wa juu wa kitaifa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumbu huhama masafa marefu

NYUMBU ni mmoja wa wanyama wakubwa wanaopatikana kwa wingi barani Afrika, hasa katika eneo la Afrika Mashariki. Wanapatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki kiasi kwamba katika mbuga kama...

 

10 years ago

Mwananchi

TCRA yaja na biashara ya masafa

>Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeanza kutoa elimu kwa wadau wa mawasiliano nchini ili kujiandaa kwa biashara ya wazi ya masafa ya mawasiliano ifikapo Oktoba, mwakani.

 

9 years ago

Raia Mwema

Makombora ya masafa marefu yataondoa ufisadi

VITA inayopiganwa sasa dhidi ya ufisadi ni muhimu sana na imeleta tija kubwa.

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumbu bingwa wa kuhama masafa marefu — (3)

WIKI iliyopita tuliona kuwa mmoja wa wanyama wanaofuatilia kwa karibu msafara wa nyumbu wanapohama ni tai. Ndege huyu mwenye macho makali hufuatilia msafara wa nyumbu kutoka angani. Sababu kubwa ya...

 

10 years ago

Michuzi

SUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU

  Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(SUMATRA),Gilliard Ngewe akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana na ushushwaji wa nauli za mabasi ya masafa marefu ofisini kwake jijini Dar es salaam leo. kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Udhibiti usafiri wa barabara,Geffrey Silinda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari  katika ofisi za Mamlaka ya Uthibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) leo jijini Dar es Salaam,kulia ni  Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti...

 

9 years ago

Michuzi

UBORESHAJI WA USALAMA BARABARANI KWA USAFIRISHAJI WA MASAFA MAREFU

 Fuso ikipita Njiani kwenye Maonyesho ya "NDIO Fuso ni Faida" jijini Dar, Maonyesho hayo yanatarijiwa kupita kwenye Mikoa kama Tanga – Moshi- Arusha- Mwanza –Shinyanga -Kahama- Dodoma – Iringa – Mbeya  na Songea ambapo shughuli mbali mbali za uchimbaji wa madini, kilimo, ujenzi na usafirishaji wa mizigo zinafanyika Wadau wa Usafirashaji wakiwa katika Maonyesho ya 'Fuso ni faida' jijini Dar Wadau wakipata maelekezo ya Huduma ya 'Ndiyo Fuso ni Faida'
Na Mwandishi Wetu,Mtandao wa miundombinu...

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wawili mabasi ya masafa wanaswa kwa ulevi

Makao Makuu Kitengo cha elimu kwa umma Usalama Barabarani, Abel Swai MADEREVA wawili wa mabasi ya masafa marefu wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Singida baada ya kugundulika kutumia pombe wakati wakiwa kazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani