Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond motors yaboresha usafiri wa masafa kwa matumizi ya Fuso.

Wiki ya nenda kwa usalama ni muhimu katika jitihada za kuboresha masuala ya usalama barabarani ikiwa ni jambo lililo na kipaumbele katika ajenda za kitaifa nchini Tanzania. Wiki hii inatoa misingi ya kufanya kazi kuelekea katika kufikia maono na matarajio ya mazingira salama na kuboresha usalama barabarani. Hivi karibuni mwenyekiti wa tume ya usalama barabarani bwana Elifadhili Mgonja wakati akiongea na waandishi wa habari katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama jijini Dar es ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign

                

Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.

This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond

Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign

                         Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures. This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond Motors (Hansa Group) has introduceda NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency,...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA

Na Magreth Kinabo- Mahakama
TEHAMA

Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.

Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.

Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkutano Mkuu wa Masafa wa ITU wakubaliana kupanga masafa ya kufuatilia Ndege Angani

ADS_B_System

Hivi ndivyo Dystem inavyofanya kazi.

Na Innocent Mungy, Geneva

Leo Jijini Geneva, Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa ITU wa Masafa umeamua na kukubaliana kutenga masafa maalumu kwa ajili ya kufuatilia ndege za abiria kokote zinapokuwa angani ili kuepusha majanga kama ya ya Malaysia iliyopotea na ambayo haijapatikana hadi leo. Uamuzi huu utakamilika mwaka 2017 ambapo mawasiliano na ndege zote za abiria zitakuwa zinajulikana zilipo.

Mkutano huu umekubaliana masafa ya bandi 1087.7-1092.3 MHz...

 

11 years ago

Mwananchi

Diamond wazindua ‘Ndiyo Fuso ni Faida’

Kampuni ya Diamond Motors imezindua kampeni ya malori yake mapya aina ya Fuso. Kampeni hiyo inajulikana kama ‘Ndiyo Fuso ni Faida’.

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors (Hansa Group) increases focus on CSR activities

Hansa-3

Hansa Group Limited Executive Chairman Mr. Rupin Rajani (in a white shirt and a tie) joins a section of mentally handicapped pupils at Kibamba Primary School Special Unite in singing a song that discourages discrimination against children with disabilities from getting the right of education. This was shortly after Hansa Group (Diamond Motors Limited) handed over a Tsh 67 million fully furnished three classrooms, administration block and lavatory for the mentally handicapped children to...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hansa Group (Diamond Motors Limited) donates classrooms for mentally handicapped children

Hansa 1

Hansa Group Limited Executive Chairman Mr. Rupin Rajani and Dar es Salaam Mentally Handicapped Children Support Group Chairperson Mrs. Evelyn Warioba pulls a curtain to unveil a brace plate that signify official handover of a Tsh 67 million fully furnished three classrooms, administration block and lavatory for the mentally handicapped children to Kibamba Primary school in Kinondoni District in Dar es Salaam. Hansa Group (Diamond Motors Limited) was the main project sponsors.

By...

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors wazindua gari jipya la Mitsubishi 2015 ASX jijini Dar es Salaam

IMG_8097

Hili ndilo gari la ASX Mitsubish jipya lililozinduliwa wiki iliyopita katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

IMG_8128

Wema Sepetu akiwasha gari Jipya la ASX Mitsubishi katika uzinduzi wa gari hilo jijini Dar es Salaam.

IMG_8126

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mwigizaji maarufu nchini, Wema Sepetu wamesifia gari jipya la Mitsubishi ASX la mwaka 2015 linalouzwa na kusambazwa na kampuni ya Diamond Motors (Hansa Group).

Katika uzinduzi wa kutambulisha gari hilo uliofanyika mwishoni mwa wiki...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)

Katibu Mkuu wa ICAO Bw. Raymond Benjamin akipata maelezo mafupi kutoka kwa Kaimu Meneja Huduma za Hali ya Hewa kwa Usafiri wa Anga Bw. John Mayunga alipotembelea Kituo cha Hali ya Hewa kilichopo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Katika ziara hiyo Bw Raymond alipendezewa na jinsi Mamlaka ilivyoboresha huduma kwa kutumia teknolojia ambapo wateja wanapata ‘flight Folders’ za taarifa za hali ya hewa kwa njia ya kielekronikali (Aviation Information System (AIS). Huduma hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani