Taasisi ya Mkapa kusomesha wanafunzi 890
 Taasisi ya Benjamin William Mkapa itafadhili wanafunzi 890 kutoka halmashauri 137 nchini ili kujiunga na vyuo vikuu 93 vya afya katika mwaka wa masomo unaoanza 2014 hadi 2016.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
WAJA kusomesha wanafunzi 20
TAASISI ya WAJA imeahidi kuwasomesha bure kuanzia kidato cha tano hadi cha sita wanafunzi 20 wanaotoka kwenye familia duni na yatima waliofaulu katika mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Compassion kusomesha wanafunzi 70,000
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 41 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 katika shule na vyuo mbalimbali ndani...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi
WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...
10 years ago
Habarileo25 Aug
Taasisi Benjamin Mkapa yakusanya bil. 1/-
TAASISI ya Benjamini Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) imekusanya zaidi ya Sh bilioni 1.3 ikiwa ni fedha taslimu pamoja na ahadi katika harambee iliyofanyika jijini hapa kwa ajili ya mradi wa kuimarisha huduma za afya.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y07lk9W-gHc/VmvMGSWncqI/AAAAAAAILvg/kk_6C2Qgn0s/s72-c/Untitled01.png)
Taasisi ya Mkapa wasafisha Zahanati ya Kawe
Zoezi hili la usafi lilishirikisha wafanyakazi...
10 years ago
Habarileo23 Aug
Pinda kuchangisha mil. 500/- Taasisi ya Mkapa
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mpango wa Mkapa Fellows awamu ya pili jijini Mwanza wenye lengo la kuimarisha huduma za afya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s72-c/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s640/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/658735b0-7fae-4a05-8d4c-38422f40c5f4.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/414f7e28-ac98-4662-9c1e-f947fe20df8a.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/67a650b7-10e6-40a9-a68d-b1e5c5f27311.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Nfl_VNxqN_4/VlgUH8eCL_I/AAAAAAAIIkE/o-xpG5mewcI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B11.27.29%2BAM.png)
Taasisi ya Benjamin William Mkapa yasikitishwa na udanganyifu au utapeli unaoendeshwa na baadhi ya watu wasiojulikana kupitia jina lake
![](http://1.bp.blogspot.com/-Nfl_VNxqN_4/VlgUH8eCL_I/AAAAAAAIIkE/o-xpG5mewcI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B11.27.29%2BAM.png)
Baadhi ya wadanganyifu hao wamekuwa wakitumia barua au akaunti yenye jina “Benjamini Mkapa” katika mtandao wa kijamii wa ‘facebook’ ambapo huwasiliana na watu, na kuwahadaa kuwa watawapatia ajira au...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Wanafunzi Taasisi ya Mufunzo Uanasheria kupata mikopo - Dkt. Migiro
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONKmBxwZgDA/VEplSsuIhNI/AAAAAAAGtL8/kbM6dBIxRfE/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0mMEAnoULlA/VEplSqlG7bI/AAAAAAAGtME/Jq7sYSjybCY/s1600/unnamed%2B(30).jpg)