Wanafunzi Tisa (9) -Wahitimu mafunzo ya uuguzi na ukunga
Rasilimali watu ni changamoto kubwa inayoikabili sekta ya afya nchini Tanzania. Upungufu huu unaathiri mfumo wa utoaji huduma bora na kwa wakati kwa wahitaji. Upungufu wa wahudumu wa afya wenye ujuzi unaathiri ngazi zote za huduma na hasa vijijini. Kutokana na wauguzi wakunga kuwa kiini katika utoaji huduma za afya vijijini na mijini kwa ujumla, kuna umuhimu wa wakunga hawa kupata elimu ya ujuzi wa kutosha ili waweze kuwafikia wahitaji zaidi ya asilimia sabini (70%) ya jumla ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Aug
Wahitimu uuguzi watakiwa kuheshimu viapo vyao
WAHITIMU wa mafunzo ya ukunga na uuguzi nchini wametakiwa kuepukana na vitendo vya kuwanyanyasa wagonjwa vinavyolalamikiwa kufanywa na baadhi ya watumishi hao.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi
WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...
9 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
![](https://mmi222.whatsapp.net/d/9WJgOE-N7YHK923-FAHKMFXPPvQ/Aiig3dhTYoKu8N-5HLx_onziXP4sVJ0cEaV3r3I1aG1B.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ2hPs-ZNmnen4nCMmwHana7mA5gumYP6n7etGNUchFaySnClvMk0HwC4xN-itsEjTmw24fb6GXAopNaPXVBW0uD/1.jpg)
CHUO FEKI CHA UUGUZI CHAFUNGWA, WANAFUNZI WAHAHA
10 years ago
MichuziPSPF YATOA SEMINA KWA WANAFUNZI WA CHUO CHA UUGUZI MANYARA
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Wahitimu mafunzo ya ujasiriamali
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
3,000 wahitimu mafunzo ya polisi
Na Rodrick Makundi, Moshi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Omar Kheir, atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za kufunga mafunzo ya awali ya askari polisi.
Mafunzo hayo yanayoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) mjini hapa, yatafikia tamati keshokutwa ambapo wageni mbalimbali akiwemo Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Ernest Mangu, watahudhuria.
Akizungumza na waandishi jana, Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Matanga Mbushi,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GXfHCFk2tdw/Xql5GcDw4OI/AAAAAAALokA/6M8S0vaTPZ0TQPHSyzjn2Ezndgvn3oX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/022.jpg)
Wataalamu wa tiba ya usingizi Mloganzila wahitimu mafunzo maalumu
![](https://1.bp.blogspot.com/-GXfHCFk2tdw/Xql5GcDw4OI/AAAAAAALokA/6M8S0vaTPZ0TQPHSyzjn2Ezndgvn3oX7wCLcBGAsYHQ/s640/022.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEqPtLnNYzA/Xql5F3NEd7I/AAAAAAALoj8/MmyKIs95BfoXkReYfXNkFuf-RydJi2XHQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
10 years ago
Michuzi18 wahitimu mafunzo ya uongozi bora waliyoanzishwa na Rais Obama