SABABU ZA BAADHI YA WANANDOA KULAZIMIKA KUCHEPUKA!
![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBfuMZS9ygOnYGh-POofUNp1Jdse-43Dx7O1AcM-hcqxKL161-Qc5lcbpAzvwDJrpaenSOIVw61NaO0LsCLxXZw/mahaba.jpg?width=650)
Kiukweli kabisa mchepuko siyo dili kwa kuwa wengi waliochepuka wamejikuta kwenye matatizo makubwa sana. Ndiyo maana tunashauriwa kubaki njia kuu kwa kujenga uaminifu kwa wale tuliotokea kuwapenda na kutodiriki kuwasaliti. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, kasi ya kusalitiana kwa wapenzi imekuwa ikiongezeka kila kukicha. Utulivu umekuwa sifuri, unayedhani katulia kesho utasikia kafumaniwa. Unaweza kuwa na mpenzi ambaye kila mara...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLIFsOdU5KFMlZqYt9dnf-37D0p4A7T1vAEvFdjrhktDR1NWvDlzjjxAA8jgvpVGDNvUwmA4Ef88O9L2tpf5E9G/mahaba.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCD3K00oF-QriowL1jD2ejrYhhvdjTVNq6AsJ9VbBjlQ7LGHimcIcJddTRRKIxMRQIsjvYQzCceTISo33QJkB8L/GUFUUD.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMX1So1uRqz*MY4f6-Hls5Qsb4CiAZ2ak*CFaYLOBzi8MHr9Z8UxRI7qeRjQESpflhbjaSrOsrOnodhUs8V8WabT/cheatingboyfriendhusband.jpg?width=650)
SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xtBPm6ISfdCdneNmJR0dtfuRgvStX7wfvfMKo1PGXtpTqh794YPFF7DHDfgrHhcXvF7zG*DC9zMwecchw6ehgJssNwFWvGLI/mahaba.jpg)
UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QgF49CmXFSaRm-qFBUuITTVR9OeNGi-QrFB8YTzFFtRbgpJ*ovwsVGGk9CAjr6NeHiuKvVaR9hYl5S*YauAo37*R8tPdyI5K/MAHABA.jpg)
UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/3ydo-rPuK9q57jTSLWP4uXVje4mdGosItszDWP-fqFuTyzLnzp*J7HRPKUxiPNQ256-Bmvs*xRh8*e79h891vqOLrRV5fuGL/latemarriageoldmanyoungerwoman.jpg?width=650)
SABABU YA WANANDOA VIJANA KUHAMIA KWA WAZEE HII HAPA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s72-c/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE NCHINI CHINA AFAFANUA SABABU ZA KUBAGULIWA KWA BAADHI YA WAAFRIKA NCHINI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s640/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China China Mhe. CHEN Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Mataifa ya Afrika katika Mji wa Guangzhou uliopo katika Jimbo la Guangdong.
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cDC1pb5ks/XpVeTM8xfsI/AAAAAAALm50/Lzu3hs21ETMjeOR55aXw8AM8eNPzgG-UACLcBGAsYHQ/s640/2f8b5439-e138-480c-88d0-0ad007853c88.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WBCxZTx3zKE/XpVeTM16hiI/AAAAAAALm5w/1UeFe2itOiQjrSRN9dvaEFlJ_Kafz8l-wCLcBGAsYHQ/s640/76c2b5dd-416e-4c0c-abc8-da2b38fae26f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y_PMvV4ESmA/XpVeT48EDdI/AAAAAAALm54/zxlsRrofK4wzQ7k5h1Xd8zAG2dLBgXxowCLcBGAsYHQ/s640/bd298759-d2b5-490c-81fc-897af9434c22.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NAIBU Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa China Chen Xiaoding amekutana na mabalozi wa nchi za Afrika akiwemo balozi wa Tanzania nchini humo Mbelwa Kairuki na kufafanua taarifa na changamoto...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili
10 years ago
Vijimambo29 Nov
HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW
MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani
Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa
Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria
Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...