UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA
![](http://api.ning.com:80/files/QgF49CmXFSaRm-qFBUuITTVR9OeNGi-QrFB8YTzFFtRbgpJ*ovwsVGGk9CAjr6NeHiuKvVaR9hYl5S*YauAo37*R8tPdyI5K/MAHABA.jpg)
Kuna watu ambao wamekuwa hodari kujisifu kuwa wao hutoa unyumba kwa ‘kibaba’. Yaani huwapimia wenzi wao. Kwa mitazamo yao, hujiona wapo sahihi. Tabia hii ipo kwa wanawake zaidi, japo kuna wanaume ambao nao ni wagumu kutekeleza mahitaji ya wapenzi wao. Hata hivyo, kuna kitu cha kuweka sawa hapa; Wakati mwanamke anapobana ‘staftahi’ kwa mwenzake, huhesabika ni mchoyo! Kwa mwanaume yeye huonekana ni goigoi....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xtBPm6ISfdCdneNmJR0dtfuRgvStX7wfvfMKo1PGXtpTqh794YPFF7DHDfgrHhcXvF7zG*DC9zMwecchw6ehgJssNwFWvGLI/mahaba.jpg)
UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCD3K00oF-QriowL1jD2ejrYhhvdjTVNq6AsJ9VbBjlQ7LGHimcIcJddTRRKIxMRQIsjvYQzCceTISo33QJkB8L/GUFUUD.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLIFsOdU5KFMlZqYt9dnf-37D0p4A7T1vAEvFdjrhktDR1NWvDlzjjxAA8jgvpVGDNvUwmA4Ef88O9L2tpf5E9G/mahaba.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMX1So1uRqz*MY4f6-Hls5Qsb4CiAZ2ak*CFaYLOBzi8MHr9Z8UxRI7qeRjQESpflhbjaSrOsrOnodhUs8V8WabT/cheatingboyfriendhusband.jpg?width=650)
SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBfuMZS9ygOnYGh-POofUNp1Jdse-43Dx7O1AcM-hcqxKL161-Qc5lcbpAzvwDJrpaenSOIVw61NaO0LsCLxXZw/mahaba.jpg?width=650)
SABABU ZA BAADHI YA WANANDOA KULAZIMIKA KUCHEPUKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsiVk1nrwCqmYOE2wGQ5J2S4-yM0HnvEDcnIznWNFuLG3-DmNCsLjt0QTuQHpKr5-GjA6AN1fKC-G5EmkFhx0uO/mahaba.jpg?width=650)
HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Kijana ni wajibu wako, sababu ndiyo kesho yako
Ukiuliza watu mtaani Siasa ni nini? bila kusita watakuambia, Siasa ni wongo, ushirikina, utapeli, ni lugha ya mficho yenye maana ya uovu, uongo na laana. Tafsiri hii ya neno siasa imesababisha kutokea kwa makundi mawili, kundi la kwanza ni la watu ambalo ndio kundi kubwa wanaichukia na kujitenga na siasa na kundi dogo la watu wanaipenda na kuikumbatia.
Mjadala huu utajikita zaidi katika kuangalia kundi hili kubwa la watu ambao wanaichukia na kujitenga na siasa. Takwimu zinaonyesha kuwa...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!
Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au hawawapi nafasi waume zao pale wanapowahitaji.
Kutokana na hasira hizi hata salamu naona ngumu kuwapa kwani pointi zangu zitayeyuka, hivi mashosti hamjui mwanaume akishakuwa na stimu ya kula chakula hutakiwi kumkatisha?
Ndiyo maana wengi wenu mnalalamika kutoridhika, mara ooh mume wangu hana hamu siku zote.
Atakuwaje na hamu wakati akiwa nayo unamdengulia? Naamua kuwapa...