Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busara ni kukubali kuwa hujui kila kitu

Nimewashuhudia watu wa aina hii wakibadilisha aina ya makosa kila kukicha lakini sijawahi kuwasikia wakikubali kuwa hayo yametokana na ubinadamu wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Usijidanganye kuamini kuwa unajua kila kitu

Wakati fulani nilikuwa kwenye semina moja ya ndoa, Arusha. Katika mchakato wa semina hiyo, nilikutana na wanandoa na mmoja alipenda tukutane, lakini mwingine hakuona ulazima wa kufanya hivyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Dude Alizwa Kila Kitu

YAMEMKUTA! Mwigizaji maarufu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amelizwa kila kitu kwenye gari lake baada ya wezi kuvunja kioo na kufanya uharibifu mkubwa kisha kutokomea na vitu hivyo.

Tukio hilo lililomchanganya Dude lilijiri nyumbani kwake, Kiwalani jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo jamaa hao waliruka fensi na kuvunja kioo cha nyuma kisha kutoa vitu muhimu kwenye gari hilo aina ya Toyota Mark II.

“Ukweli sasa hivi nikisikia kelele za mwizi hata niwe naendesha gari, nitapaki na kwenda kutoa...

 

11 years ago

GPL

FLORA AKOMBA KILA KITU

Stori: Waandishi Wetu MACHOZI upya! Habari halali kwa ubongo wako zinaeleza kwamba wakati mumewe, Emmanuel Mbasha (32) alipokuwa mahabusu, Dar kati ya Juni 15 hadi 17, mwaka huu, staa wa Gospo Bongo, Flora Mbasha (31) anadaiwa kwenda nyumbani na kukomba vitu vya ndani kuvipeleka kusikojulikana. Sehemu ya chumba cha kupumzikia kilichobakiwa na kochi na… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Hatupingi kila kitu

MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati namba tisa ya Bunge Maalum, William Ngeleja, amesema hawapingi kila kitu kilichomo kwenye Rasimu iliyotolewa na Tume ya Mabiliko ya Katiba. Ngeleja, amewataka watanzania wasikubali kupotoshwa...

 

9 years ago

Vijimambo

APOKEA UONGOZI WA KILIMANJARO FC UBALOZINI NA KUKUBALI KUWA MLEZI WA TIMU HIYO

Mhe. Balozi Dora Msechu ameupokea Ubalozini Ujumbe wa timu maarufu ya soka ya watanzania waishio Sweden, Kilimanjaro FC, ambao walikuja kumkabidhi Mhe. Balozi makombe waliyoshinda kwenye mashindano mbalimbali hapa Sweden. Mhe. Balozi Dora Msechu ameipongeza na kuishukuru Kilimanjaro FC kwa kuiwakilisha vyema nchi yetu kwenue fani ya michezo hapa Sweden na kuwahamasisha waongezee bidii zaidi na wasibweteke na mafanikio wanayoyapata.
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la Kilimanjaro...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM 2015

Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe Dk Ali Mohamed Shein akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm 2015 huko Dodoma wakati akikubali ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015

 

11 years ago

GPL

HAWEZI KUKUFANYIA KILA KITU, RIDHIKA!

NYAKATI za mwanzo wa uhusiano, huba na kila aina ya manjonjo kwenye mapenzi hutawala. Huwa na vitu vingi sana vya kuvutia, visivyochosha. Ni rahisi kuwasikia wenzi wakilaumiana kwa kutokuamshana asubuhi! Yeah! Ni mambo ya mwanzo hayo. Ni ukweli ulio wazi kuwa, katika siku za mwanzo za wapenzi kukutana na kufahamiana, kila mmoja huwa makini kuhakikisha hamuudhi mwenzake. Kila kitu hufanyika kwa umakini huku akizingatia kuwa kuna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Wanaokubaliana kila kitu ni kondoo

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Tundu Lissu, amesema katika mchakato wa kuandika Katiba ni lazima kuwa na mawazo yanayokinzana, kwa kuwa hiyo ndiyo demokrasia. Lissu ambaye pia ni Mbunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani