APOKEA UONGOZI WA KILIMANJARO FC UBALOZINI NA KUKUBALI KUWA MLEZI WA TIMU HIYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qo1JZM4GwXg/VjOwyP1nGgI/AAAAAAAAj00/qsD7DU4ykRE/s72-c/IMG-20151009-WA0017.jpg)
Mhe. Balozi Dora Msechu ameupokea Ubalozini Ujumbe wa timu maarufu ya soka ya watanzania waishio Sweden, Kilimanjaro FC, ambao walikuja kumkabidhi Mhe. Balozi makombe waliyoshinda kwenye mashindano mbalimbali hapa Sweden. Mhe. Balozi Dora Msechu ameipongeza na kuishukuru Kilimanjaro FC kwa kuiwakilisha vyema nchi yetu kwenue fani ya michezo hapa Sweden na kuwahamasisha waongezee bidii zaidi na wasibweteke na mafanikio wanayoyapata.
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la Kilimanjaro...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Balozi Dora Msechu apokea uongozi wa Kilimanjaro FC ubalozini na kukubali kuwa mlezi wa timu hiyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-qo1JZM4GwXg/VjOwyP1nGgI/AAAAAAAAj00/qsD7DU4ykRE/s640/IMG-20151009-WA0017.jpg)
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Hatimaye Chelsea yamtangaza Guus Hiddink kuwa meneja mpya wa timu hiyo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ikiwa zimepita siku tatu tangu uongozi wa klabu ya Chelsea kumtimua kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho hatimaye taarifa zimetoka ndani ya timu hiyo kuwa, Mholanzi Guus Hiddink (pichani) amekuwa meneja mpya wa klabu hiyo ya Uingereza.
Katika taarifa iliyotolewa na ukurasa wa klabu hiyo wa Twitter umeeleza kuwa Hiddink atakuwa meneja wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu huu wa 2015/2016.
Hiddink hii siyo mara yake ya kwanza kuifundisha timu hiyo ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s72-c/unnamed.jpg)
TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VKGyuln3ZZ0/VVt0NY0RHRI/AAAAAAADnv0/8yE-Lbkopd4/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y23eP06eif0/VVtzqkm5S2I/AAAAAAADnu8/iAOTF8A8V0A/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_-RPV7OtOQo/VVtzukBiK5I/AAAAAAADnvE/qp-kH9kmR3g/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y4fzTTDcM0o/VVtzx5K4nlI/AAAAAAADnvM/2f5qVOxvxgM/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JGPyptHD2Do/VVtz16SVKBI/AAAAAAADnvU/R2zj2qSXNzc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vi9doOien00/VVtz_6Xo9WI/AAAAAAADnvc/CiuBZs1Ljqw/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UhG8RudvJvk/VVt0E7dAMdI/AAAAAAADnvk/C8IS84IHxYU/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.Aliyekuwa-Mbunge-wa-Jimbo-la-Kinondoni-Iddi-Azan-akizungumza-jambo-katika-hafla-hiyo...jpg)
IDD AZAN KUWA MLEZI WA KIJITONYAMA FITNESS CLUB
11 years ago
MichuziKAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pyF_N_CcazE/VN5UmGyHDhI/AAAAAAAHDqM/1IjfBI0xl8I/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
WAZIRI SIMBA AMSIMIKA CHIKAWE KUWA MLEZI UWT NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pyF_N_CcazE/VN5UmGyHDhI/AAAAAAAHDqM/1IjfBI0xl8I/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Jinsi mama mpya unavyoweza kuwa mlezi bora zaidi
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Busara ni kukubali kuwa hujui kila kitu
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GHuJ49ThJlg/VaJz7oKCJHI/AAAAAAAAI48/Z3j9Q4tX-4Y/s72-c/Dr%2BShein%2Buchaguzi.png)
Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-GHuJ49ThJlg/VaJz7oKCJHI/AAAAAAAAI48/Z3j9Q4tX-4Y/s640/Dr%2BShein%2Buchaguzi.png)