Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


APOKEA UONGOZI WA KILIMANJARO FC UBALOZINI NA KUKUBALI KUWA MLEZI WA TIMU HIYO

Mhe. Balozi Dora Msechu ameupokea Ubalozini Ujumbe wa timu maarufu ya soka ya watanzania waishio Sweden, Kilimanjaro FC, ambao walikuja kumkabidhi Mhe. Balozi makombe waliyoshinda kwenye mashindano mbalimbali hapa Sweden. Mhe. Balozi Dora Msechu ameipongeza na kuishukuru Kilimanjaro FC kwa kuiwakilisha vyema nchi yetu kwenue fani ya michezo hapa Sweden na kuwahamasisha waongezee bidii zaidi na wasibweteke na mafanikio wanayoyapata.
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la Kilimanjaro...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Balozi Dora Msechu apokea uongozi wa Kilimanjaro FC ubalozini na kukubali kuwa mlezi wa timu hiyo

Mhe. Balozi Dora Msechu ameupokea Ubalozini  Ujumbe wa timu maarufu  ya soka ya watanzania waishio Sweden,  Kilimanjaro FC, ambao walikuja kumkabidhi Mhe. Balozi makombe waliyoshinda kwenye mashindano mbalimbali hapa Sweden. Mhe. Balozi Dora Msechu ameipongeza na kuishukuru Kilimanjaro FC kwa kuiwakilisha vyema nchi yetu kwenue fani ya michezo hapa Sweden na kuwahamasisha waongezee bidii zaidi na wasibweteke na mafanikio wanayoyapata.
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatimaye Chelsea yamtangaza Guus Hiddink kuwa meneja mpya wa timu hiyo

Guus-Hiddink

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ikiwa zimepita siku tatu tangu uongozi wa klabu ya Chelsea kumtimua kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho hatimaye taarifa zimetoka ndani ya timu hiyo kuwa, Mholanzi Guus Hiddink (pichani) amekuwa meneja mpya wa klabu hiyo ya Uingereza.

Katika taarifa iliyotolewa na ukurasa wa klabu hiyo wa Twitter umeeleza kuwa Hiddink atakuwa meneja wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu huu wa 2015/2016.

Hiddink hii siyo mara yake ya kwanza kuifundisha timu hiyo ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1

Naibu Waziri akikagua timuNaibu W#aziri akikagua timu
Mashabiki wakiingia uwanjani.Wachezaji wa timu zote wakiingia uwanjani kucheza soka iliyiachezewa uwanja wa Aman anzibar.
Mashabiki wakiingia uwanja wa AmanNaibu Waziri wa Mifugo akisalimiana na marefaMahsahibi wakiwa wakiwauwanjani

 

10 years ago

GPL

IDD AZAN KUWA MLEZI WA KIJITONYAMA FITNESS CLUB

  Idd Azan (mbele) akisalimiana na baadhi ya wanavikundi vya jogging. .Idd Azan (kulia) akimsalimia muandaaji wa bonanza hilo, Aba Pelham.…

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP ,Robert Boaz akimvisha medali asakari Dominick Mafuru mmoja wa washindi wa mashindano ya mchezo wa Karate yaliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi. Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro .Robert Boaz akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa mchezo wa Karate ambao ni askari polisi,Kabelwa Ferdinando(katikati) na Wembo Ailala. Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro .Robert Boaz akiwa katika picha ya pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBA AMSIMIKA CHIKAWE KUWA MLEZI UWT NACHINGWEA


 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba (kushoto) akimsimika kwa kumkabidhi fimbo ya ulezi baada ya kumvalisha joho, kofia na skafu, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, mkoani Lindi, Mathias Chikawe, kuwa mlezi wa UWT katika wilaya yake ya Nachingwea. Sherehe hiyo iliyohudhuriwa na mamia ya wanachama wa UWT, ilifanyika katika Ukumbi wa NR mjini Nachingwea leo. Wapili...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi mama mpya unavyoweza kuwa mlezi bora zaidi

Kuwa mama si kitu rahisi kama watu wengi wanavyodhani. Kuna mambo mengi yanayopaswa kuzingatiwa ili kuwa si tu mama bora bali pia mlezi sahihi wa familia.

 

10 years ago

Mwananchi

Busara ni kukubali kuwa hujui kila kitu

Nimewashuhudia watu wa aina hii wakibadilisha aina ya makosa kila kukicha lakini sijawahi kuwasikia wakikubali kuwa hayo yametokana na ubinadamu wao.

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM 2015

Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe Dk Ali Mohamed Shein akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm 2015 huko Dodoma wakati akikubali ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani