Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinsi mama mpya unavyoweza kuwa mlezi bora zaidi

Kuwa mama si kitu rahisi kama watu wengi wanavyodhani. Kuna mambo mengi yanayopaswa kuzingatiwa ili kuwa si tu mama bora bali pia mlezi sahihi wa familia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Je unajua jinsi unavyoweza kuwa kiongozi bora

Kufuatia uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni kuna baadhi ya wasomaji wameniomba niandike kuhusu uongozi. Hata hivyo, nilipoamua kuandika kuhusu mada hii nikawa na hofu kuwa itasomwa na watu wachache sana yaani viongozi tu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi unavyoweza kuburudika wakati unapokuwa umejitenga

Wasanii mbali mbali duniani wamebuni mbinu ya kuwafurahisha kwa njia ya mtandao watu wanaokuwa wamejitenga

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.

Kuanzia kuagiza chakula hadi namna unavyoweza kuishi na familia, hivi ndivyo unavyoweza kuepuka kusambaza virusi vya Corona.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani

Je umewahi kushindwa kutenda jambo lilikuwa muhimu sana kwa maendeleo ya maisha yako? Je hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache sana? Inapotokea huwa unafanya nini? Huwa unakata tamaa kabisa na kuacha kujaribu tena? Kabla hujatafakari sana kuhusu suala hili hebu soma taarifa yangu fupi kuhusu suala hili.

 

9 years ago

Mwananchi

Je, unawezaje kuwa mwajiriwa kazini na mama bora nyumbani?

Malezi mazuri hayaji kwa siku moja; ni hatua kwa hatua na ni hatua zenye changamoto tele. Changamoto mojawapo ni kuwa mama wa familia na pia mwajiriwa. Mara nyingi utawasikia akina mama au wadada wenye watoto wakilalamika “Mwanangu sijakaa naye kwa muda mrefu, nimemisi mwanangu.” Sasa basi, ufanyaje ili uepukane na haya malalamiko?

 

9 years ago

MillardAyo

Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015…

Mashabiki wengi  wa soka wanaamini nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ndiye bora duniani..lakini kuna hili gazeti moja kutoka Ufaransa la L’Equipe limeorodhesha wachezaji 100 waliofanya vizuri kwa mwaka uliopita wa 2015. Katika orodha hiyo Ronaldo pamoja na mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski wamefanikiwa kuingia hatua ya tano bora. Mastaa waliofanikiwa kushika nafasi tatu za […]

The post Hawa ndio mastaa wa soka waliotajwa kuwa bora zaidi 2015… appeared first on...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ALIPOMTEMBELEA MAMA YAKE MLEZI IGUNGA, TABORA

Msanii Zuwena Mohammed 'Shilole' Februari 13, mwaka huu alimtembelea mama yake mlezi aitwaye Hamisa anayeishi Igunga Mjini mkoani Tabora alipokwenda na wasanii wenzake akina Madee na Queen Darleen kwa ajili ya shoo ya Siku ya Wapendanao. (Video na Denis Mtima / GPL, Igunga)

 

10 years ago

GPL

IDD AZAN KUWA MLEZI WA KIJITONYAMA FITNESS CLUB

  Idd Azan (mbele) akisalimiana na baadhi ya wanavikundi vya jogging. .Idd Azan (kulia) akimsalimia muandaaji wa bonanza hilo, Aba Pelham.…

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBA AMSIMIKA CHIKAWE KUWA MLEZI UWT NACHINGWEA


 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba (kushoto) akimsimika kwa kumkabidhi fimbo ya ulezi baada ya kumvalisha joho, kofia na skafu, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, mkoani Lindi, Mathias Chikawe, kuwa mlezi wa UWT katika wilaya yake ya Nachingwea. Sherehe hiyo iliyohudhuriwa na mamia ya wanachama wa UWT, ilifanyika katika Ukumbi wa NR mjini Nachingwea leo. Wapili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani