Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, unawezaje kuwa mwajiriwa kazini na mama bora nyumbani?

Malezi mazuri hayaji kwa siku moja; ni hatua kwa hatua na ni hatua zenye changamoto tele. Changamoto mojawapo ni kuwa mama wa familia na pia mwajiriwa. Mara nyingi utawasikia akina mama au wadada wenye watoto wakilalamika “Mwanangu sijakaa naye kwa muda mrefu, nimemisi mwanangu.” Sasa basi, ufanyaje ili uepukane na haya malalamiko?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Jinsi mama mpya unavyoweza kuwa mlezi bora zaidi

Kuwa mama si kitu rahisi kama watu wengi wanavyodhani. Kuna mambo mengi yanayopaswa kuzingatiwa ili kuwa si tu mama bora bali pia mlezi sahihi wa familia.

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Likizo ya malipo ni haki ya mwajiriwa

Makala hii inamsaidia mwajiri na mwajiriwa kujua jinsi ya kupeana na kuomba likizo kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini na. 6 ya mwaka 2004. Sheria hii inatoa muongozo jinsi ya kupeana likizo na aina ya likizo ambazo muajiriwa anapaswa kupewa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Utoaji ajira hauzingatii uzoefu wa mwajiriwa’

SERIKALI imesisitiza kuwa katika kutoa ajira, haizingatii uzoefu wa mwajiriwa kwa mujibu wa Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1999 Toleo la mwaka 2008, isipokuwa katika baadhi ya nafasi za juu.

 

9 years ago

Bongo Movies

Mama Atia Ngumu Lulu Kuondoka Nyumbani

Lulu Akiwa na Mama Yake

Lulu Akiwa na Mama Yake

Marufuku! Mama mzazi wa staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ametia ngumu mwanaye huyo kuondoka nyumbani kwake na kwenda kuishi peke yake kwa kuwa bado anahitaji zaidi kufuata maadili yake.
Mama Lulu aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, hawezi kumruhusu Lulu kwenda kupanga na kuishi peke yake wakati bado ni mdogo na kwamba bado anahitaji aishi katika maadili ya mzazi.
Chanzo:GPL

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujasiri ulivyotengeneza maisha ya ushindi kwa mama wa nyumbani

sere5

Meneja Mauzo  wa Serengeti Breweries Ltd  Mkoa  wa Morogoro Bw.Moses Bartazary (mwenye kofia) akikabidhi Funguo ya Bajaj Limo yenye uwezo wa kubeba abiria saba kwa  mshindi  wa kwanza wa shindano  la Tutoke  na  Serengeti  Bi Rukia Almas ambaye ni mkazi wa Kihonda na mfanyakazi  katika Bar ya  Kambarage iliyopo manispaa  ya  Morogoro.

Kwa miaka kadhaa, Rukia Almasi, mkazi wa Morogoro amekuwa akizongwa na uvumi kwamba kushiriki promosheni za bahati nasibu ni kupoteza muda, na kwamba ushindi...

 

10 years ago

GPL

KISHERIA LAZIMA MAMA WA NYUMBANI KUPATA MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA

Na Bashir Yakub NDOA inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea kutokana na ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni  kugawana mali walizochuma  wanandoa, pili hifadhi ya watoto  na tatu matunzo ya watoto. Haya  ni matokeo  ya kuvunjika  kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu  kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali  za wanandoa. 1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA?...

 

11 years ago

Michuzi

WAKE WA VIONGOZI WAMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NYUMBANI KWAKE MSASANI

Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda (kulia) ambaye ni mlezi wa kikundi cha Wake waViongozi (NEW MELLENIUMWOMEN GROUP) akimsikiliza kwa makini Mama Maria Nyerere wakati walipo mtembelea nyumbani kwake kwa ajili yakumjulia hali pamoja na kumpatia zawadi mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa aliokuwa anampa Baba wa Taifa ambao ulisaidia kuleta amani utulivu na maendeleo ndani ya nchi na nje ya Tanzania.Mama Maria Nyerere na MamaTunu Pinda wakiangali picha zao walizo pigwa na Mama Othmani ...

 

10 years ago

Mwananchi

Unawezaje kutambua kipaji chako?-1

Baada ya kuandika kwa wiki mbili mfululizo kuhusu umuhimu wa kutambua kipaji chako ili ufanikiwe maishani, nimepokea maoni ya wasomaji wengi wakitaka nijikite kuelezea namna gani binadamu anaweza kutambua kipaji chake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani