Je, unawezaje kuwa mwajiriwa kazini na mama bora nyumbani?
Malezi mazuri hayaji kwa siku moja; ni hatua kwa hatua na ni hatua zenye changamoto tele. Changamoto mojawapo ni kuwa mama wa familia na pia mwajiriwa. Mara nyingi utawasikia akina mama au wadada wenye watoto wakilalamika “Mwanangu sijakaa naye kwa muda mrefu, nimemisi mwanangu.†Sasa basi, ufanyaje ili uepukane na haya malalamiko?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Jinsi mama mpya unavyoweza kuwa mlezi bora zaidi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1.jpg)
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG.-NA.-2.jpg)
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Likizo ya malipo ni haki ya mwajiriwa
10 years ago
Habarileo31 Mar
‘Utoaji ajira hauzingatii uzoefu wa mwajiriwa’
SERIKALI imesisitiza kuwa katika kutoa ajira, haizingatii uzoefu wa mwajiriwa kwa mujibu wa Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1999 Toleo la mwaka 2008, isipokuwa katika baadhi ya nafasi za juu.
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Mama Atia Ngumu Lulu Kuondoka Nyumbani
![Lulu Akiwa na Mama Yake](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/LULU32.jpg)
Lulu Akiwa na Mama Yake
Marufuku! Mama mzazi wa staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ametia ngumu mwanaye huyo kuondoka nyumbani kwake na kwenda kuishi peke yake kwa kuwa bado anahitaji zaidi kufuata maadili yake.
Mama Lulu aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, hawezi kumruhusu Lulu kwenda kupanga na kuishi peke yake wakati bado ni mdogo na kwamba bado anahitaji aishi katika maadili ya mzazi.
Chanzo:GPL
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ujasiri ulivyotengeneza maisha ya ushindi kwa mama wa nyumbani
Meneja Mauzo wa Serengeti Breweries Ltd Mkoa wa Morogoro Bw.Moses Bartazary (mwenye kofia) akikabidhi Funguo ya Bajaj Limo yenye uwezo wa kubeba abiria saba kwa mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti Bi Rukia Almas ambaye ni mkazi wa Kihonda na mfanyakazi katika Bar ya Kambarage iliyopo manispaa ya Morogoro.
Kwa miaka kadhaa, Rukia Almasi, mkazi wa Morogoro amekuwa akizongwa na uvumi kwamba kushiriki promosheni za bahati nasibu ni kupoteza muda, na kwamba ushindi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKGO08Ol-TdLcDMKNqmE7R2r4IkMeyAY-nxvN8*x9xGXVjtiV0AtA33oJQ-PL0obj*B30WzMV7SrO7Ty0RHk1th/laws.jpg?width=650)
KISHERIA LAZIMA MAMA WA NYUMBANI KUPATA MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4jPgj30KedQ/U94CgNQJsYI/AAAAAAAF8ko/n6qzIk9aZ9Q/s72-c/unnamed+(12).jpg)
WAKE WA VIONGOZI WAMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NYUMBANI KWAKE MSASANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-4jPgj30KedQ/U94CgNQJsYI/AAAAAAAF8ko/n6qzIk9aZ9Q/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ltWHT1J-rh8/U94Cgc9phnI/AAAAAAAF8k4/dbamM2S3-kM/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Unawezaje kutambua kipaji chako?-1