Likizo ya malipo ni haki ya mwajiriwa
Makala hii inamsaidia mwajiri na mwajiriwa kujua jinsi ya kupeana na kuomba likizo kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini na. 6 ya mwaka 2004. Sheria hii inatoa muongozo jinsi ya kupeana likizo na aina ya likizo ambazo muajiriwa anapaswa kupewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Likizo kwa malipo iko kisheria, siyo msaada
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
10 years ago
Habarileo31 Mar
‘Utoaji ajira hauzingatii uzoefu wa mwajiriwa’
SERIKALI imesisitiza kuwa katika kutoa ajira, haizingatii uzoefu wa mwajiriwa kwa mujibu wa Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1999 Toleo la mwaka 2008, isipokuwa katika baadhi ya nafasi za juu.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Je, unawezaje kuwa mwajiriwa kazini na mama bora nyumbani?
9 years ago
GPLUCHAGUZI WAMPA LIKIZO JB
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Maandalizi ya likizo ya uzazi
MOJA kati ya mambo yanayomsaidia mzazi, hasa mwanamke ambaye ameajiriwa, ni likizo ya uzazi anayopatiwa pale anapojifungua. Yapo masharti mengi yanayoendana na likizo ya uzazi, lakini kwa mujibu wa sheria...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo
![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-egpneANz2LE/Xujj7WHC6oI/AAAAAAALuIY/634LGgxVMJU23Qi3NVQRxgA5qMJE-5tPgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao
WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...