‘Utoaji ajira hauzingatii uzoefu wa mwajiriwa’
SERIKALI imesisitiza kuwa katika kutoa ajira, haizingatii uzoefu wa mwajiriwa kwa mujibu wa Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1999 Toleo la mwaka 2008, isipokuwa katika baadhi ya nafasi za juu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Magufuli: Nakerwa na vigezo vya uzoefu kuomba ajira
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Sekretarieti ya ajira yahimiza utoaji taarifa
SEKRETARIETI ya ajira imewataka wadau wake ambao watakuwa wamepotelewa, wameibiwa, wameharibikiwa ama kuunguliwa na vyeti vya kitaaluma na wale waliyosoma nje ya nchi, kutambua kuwa wanapaswa kutoa taarifa katika sehemu...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Likizo ya malipo ni haki ya mwajiriwa
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Je, unawezaje kuwa mwajiriwa kazini na mama bora nyumbani?
10 years ago
MichuziWAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu
9 years ago
Habarileo14 Nov
Uzoefu, busara kumbeba Spika
WABUNGE jana walianza kujisajili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 11 wiki ijayo, huku wengi wao wakitoa maoni ya sifa wanazozitaka kwa Spika mpya wa Bunge hilo, zikiwemo uzoefu, busara, kujua kanuni na mwenye utayari wa kuyakabili mabadiliko.
11 years ago
Habarileo07 Jan
Ashauri watumie uzoefu wa ASP
AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.
11 years ago
Habarileo15 Apr
'Vijana jitoleeni mpate uzoefu'
MOYO wa kujitolea kwa baadhi ya vijana haupo kutokana na wengi wao kutoandaliwa katika mazingira ya kuwahamasisha kujitolea na wengine kutopenda kufanya hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga wakati akifungua semina elekezi kwa vijana wa kujitolea 27.