Ashauri watumie uzoefu wa ASP
AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jul
DC ashauri NIDA watumie wahitimu
MKUU wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Nyirembe Munasa imewashauri watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuangalia uwezekano wa kuwatumia vijana waliohitimu kidato cha nne angalau kwa ajira za muda, ili kuongeza kasi ya utoaji wa vitambulisho hivyo, kwa kuwa wengi wako `vijiweni’.
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Bendera za ASP zazua taharuki Zanzibar
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wanawake watumie siku hii kutathmini mafanikio
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oI-ZhX2Z7Uw/U6RLrLUTR-I/AAAAAAAFr_w/QUCmTGasyrM/s72-c/MMGN8022.jpg)
RAIS MALINZI AWATAKA MAKOCHA WATUMIE UJUZI WAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oI-ZhX2Z7Uw/U6RLrLUTR-I/AAAAAAAFr_w/QUCmTGasyrM/s1600/MMGN8022.jpg)
Akifunga rasmi mafunzo ya wiki mbili ya makocha wa mpira wa miguu ya Leseni B inayotambuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jijini Dar es Salaam leo (Juni 20 mwaka huu), Rais Malinzi amewataka makocha hao kuwapa mafunzo ya awali (basic) walimu wa shule za msingi kwa vile TFF ina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7VRZdyc85I/XuDwMmmmLJI/AAAAAAALtYs/26KdmXH8Ng8uiY_88PkwbfTA0X3xkiwGQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.14.27%2BPM.jpeg)
ASP. Mboje ateuliwa kuwa Mkuu wa Gereza Rombo, Kilimanjaro
![](https://1.bp.blogspot.com/-z7VRZdyc85I/XuDwMmmmLJI/AAAAAAALtYs/26KdmXH8Ng8uiY_88PkwbfTA0X3xkiwGQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.14.27%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--OZiXMjNZKc/VLkEindBcpI/AAAAAAAG9z0/i8zY7RsrDew/s72-c/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
CCM ZANZIBAR YAOMBOLEZA KIFO CHA MWASISI WA ASP MAREHEMU MAKAME MZEE SULEIMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/--OZiXMjNZKc/VLkEindBcpI/AAAAAAAG9z0/i8zY7RsrDew/s1600/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
Marehemu Makame Mzee Suleiman, alizaliwa tarehe 14 Aprili, 1926, katika Kijiji cha Mitakawani, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini, Unguja.
Alipata Elimu ya Msingi katika Skuli ya Uzini mwaka 1936. Aidha,...
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu
11 years ago
Habarileo15 Apr
'Vijana jitoleeni mpate uzoefu'
MOYO wa kujitolea kwa baadhi ya vijana haupo kutokana na wengi wao kutoandaliwa katika mazingira ya kuwahamasisha kujitolea na wengine kutopenda kufanya hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga wakati akifungua semina elekezi kwa vijana wa kujitolea 27.
9 years ago
Habarileo14 Nov
Uzoefu, busara kumbeba Spika
WABUNGE jana walianza kujisajili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 11 wiki ijayo, huku wengi wao wakitoa maoni ya sifa wanazozitaka kwa Spika mpya wa Bunge hilo, zikiwemo uzoefu, busara, kujua kanuni na mwenye utayari wa kuyakabili mabadiliko.