Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ashauri NIDA watumie wahitimu

MKUU wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Nyirembe Munasa imewashauri watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuangalia uwezekano wa kuwatumia vijana waliohitimu kidato cha nne angalau kwa ajira za muda, ili kuongeza kasi ya utoaji wa vitambulisho hivyo, kwa kuwa wengi wako `vijiweni’.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ashauri watumie uzoefu wa ASP

AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.

 

11 years ago

Michuzi

NIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE

 Waziri wa mambo ya ndani ya  nchi Mathias Chikawe  akiwa anafunga mkutano wa wafanyakazi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa  uliokuwa unafanyika ndani ya hotel ya snowcrest jiji Arusha.  washiriki  katika mkutano wa Wafanyakazi wa  Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIda wakiwa wanamsikiliza waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hotel ya snowcrest waziri akiwa anapena mkono na mkurugenzi mara baada ya kutoa  risala ya kufunga mkutano huo Mkurugenzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake watumie siku hii kutathmini mafanikio

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani. Wanawake huadhimisha siku hii kwa kufanya shughuli mbalimbali zinazoonyesha umuhimu wao katika jamii na hivyo kuhimiza haki za wanawake zizingatiwe, ikiwa ni pamoja na malezi na elimu kwa watoto wa kike.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS MALINZI AWATAKA MAKOCHA WATUMIE UJUZI WAO

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewataka makocha wa mpira wa miguu wafanyie kazi kwa vitendo mafunzo wanayopata badala ya kuweka makabatini maarifa waliyopata.
Akifunga rasmi mafunzo ya wiki mbili ya makocha wa mpira wa miguu ya Leseni B inayotambuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jijini Dar es Salaam leo (Juni 20 mwaka huu), Rais Malinzi amewataka makocha hao kuwapa mafunzo ya awali (basic) walimu wa shule za msingi kwa vile TFF ina...

 

11 years ago

Mwananchi

DC ashauri Bajaj zitengenezwe nchini

Wafanyabiashara wa Babaj wametakiwa kupiga hatua zaidi kwa kufungua viwanda vya kutengeneza au kuunganisha vyombo hivyo vya usafiri nchini ili kufanya bei zake kuwa nafuu na pia kupanua wigo zaidi wa ajira.

 

10 years ago

Habarileo

Ashauri namna ya kuboresha kilimo

SERIKALI imeshauriwa kununua mitambo ya kisasa ya kupima aina mbalimbali za udongo, kuondoa kodi katika pembejeo za kilimo na kutafiti kabla masoko ya mazao ya wakulima.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Ashauri adhabu ya kifo ifutwe


Clarence Chilumba, Mtwara
Serikali imeshauriwa kutafuta njia mbadala kwa watuhumiwa wanaohukumiwa adhabu ya kifo na badala yake wapewe adhabu nyingine ambayo itawapa nafasi ya kuendelea kuzalisha mali.
Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC), Arnold Sungusia,  wakati akiwasilisha mada juu ya haki za binadamu kwenye mkutano mkuu wa jukwaa la wahariri.
Alisema ni vyema serikali ikaweka sheria na adhabu mbadala kwa watu wanaohukumiwa adhabu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

10 years ago

Mwananchi

Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu

Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ameishauri Serikali kuwashirikisha walimu kwa kujadiliana nao kuhusu matatizo yanayowakabili angalau kutafuta jinsi ya kupunguza makali yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani