RAIS MALINZI AWATAKA MAKOCHA WATUMIE UJUZI WAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oI-ZhX2Z7Uw/U6RLrLUTR-I/AAAAAAAFr_w/QUCmTGasyrM/s72-c/MMGN8022.jpg)
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewataka makocha wa mpira wa miguu wafanyie kazi kwa vitendo mafunzo wanayopata badala ya kuweka makabatini maarifa waliyopata.
Akifunga rasmi mafunzo ya wiki mbili ya makocha wa mpira wa miguu ya Leseni B inayotambuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jijini Dar es Salaam leo (Juni 20 mwaka huu), Rais Malinzi amewataka makocha hao kuwapa mafunzo ya awali (basic) walimu wa shule za msingi kwa vile TFF ina...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Nov
NDUMBARO VS MALINZI: Sababu za ugomvi wao zabainika
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s72-c/MALINZI.jpg)
MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s640/MALINZI.jpg)
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XxSZlVGZjAY/U-4zNtS7QuI/AAAAAAAF_6U/-U8Gja-LiyE/s72-c/download%2B(1).jpg)
MWAMEJA, MANYIKA, PAWASA, LUNYAMILA NA MMACHINGA WAITWA KUIVAA REAL MADRID, MAKOCHA WAO MKWASA, MINZIRO NA JULIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-XxSZlVGZjAY/U-4zNtS7QuI/AAAAAAAF_6U/-U8Gja-LiyE/s1600/download%2B(1).jpg)
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
MAKIPA maarufu waliowahi kuwika nchini, Mohamed Mwameja na Peter Manyika Peter wamejumuishwa katika kikosi cha Tanzania All Stars kitakachomenyana na magwiji wa Real Madrid ya Hispania, Agosti 23, mwaka huu jijini Dar es salaam.
Chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ na Wasaidizi Freddy Felix Minziro na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Daktari Mwanandi Mkwankemwa na viongozi Mtemi Ramadhani, Hassan Mnyenye, Omar Gumbo na Hamisi Kisiwa kikosi hicho kitaingia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E9_KtKpE10g/VICFgf43J3I/AAAAAAAG1TM/ncRy9tFDdI8/s72-c/unnamed.jpg)
KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9_KtKpE10g/VICFgf43J3I/AAAAAAAG1TM/ncRy9tFDdI8/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KwGUABda70o/VICFgo2WBvI/AAAAAAAG1TQ/I6Y7Kk1iem8/s1600/unnamedc1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HseiQHfLehw/VICFgZEJD-I/AAAAAAAG1TU/0ft8cGz3xzU/s1600/unnamedc.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC MSHAMA AWATAKA WAZAZI WASIZIME NYOTA YA ELIMU KWA WATOTO WAO
MKUU wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama amewaasa wazazi na walezi , wilayani hapo kuwekeza katika elimu kwa watoto wao ili kuondokana na ujinga kwa manufaa ya maisha yao ya baadae.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EXIURcv_QP4/XlkWhmlMijI/AAAAAAALf2k/mAKvb22-ZHMMp9CT9zbqXp0vRWG6CyqVwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aidha ameitaka ,jamii kujenga tabia ya kujitolea kuchangia kwenye elimu ili kupunguza changamoto zinazoikabili sekta hiyo badala ya kuiachia serikali na wadau pekee.
Akitoa shukrani zake baada ya kukabidhiwa cheti kwa kupongezwa mchango wake kwenye elimisha Kibaha, cheti ambacho...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Mama Kikwete awataka Walemavu kutokumlaumu mwenyezi Mungu kwa Ulemavu wao
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Kiongozi wa Kituo cha walemavu cha Raisbura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya vyakula alivyowaletea- mchele, unga, mafuta ya kupikia, sukai, soda na vinginevyo wakati alipotembelea kituo cha walemavu cha Rasibura huko Lindi siku ya Pasaka.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Watu wenye ulemavu wa viungo wametakiwa kutosikitika kwanini Mwenyezi Mungu aliwaumba hivyo na kujiona wanyonge bali wajione wako sawa na watu wengine kwani katika maisha ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s72-c/ki.jpg)
Mama Kikwete awataka wazazi na walezi kuwekeza katika elimu ya watoto wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s1600/ki.jpg)
Wazazi na walezi wilayani Lindi mjini wametakiwa kuwekeza katika elimu ya watoto wao kwa kuhakikisha wanakwenda shule kwa wakati kwani elimu ni ukombozi wa maisha na kuolewa katika umri mdogo kwa watoto hao hakutawasaidia kimaisha.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s72-c/337.jpg)
BALOZI SEIF AWATAKA WAZAZI KUWAPOKEA WATOTO WAO WALIOACHANA NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-U36BoQrbTUg/VYFTlaTIddI/AAAAAAABAKo/dK-OgwJrqE8/s640/337.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFSCivhx7ok/VYFTmGsdmFI/AAAAAAABAKs/3P3jpxq5mvY/s640/348.jpg)