Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ashauri Bajaj zitengenezwe nchini

Wafanyabiashara wa Babaj wametakiwa kupiga hatua zaidi kwa kufungua viwanda vya kutengeneza au kuunganisha vyombo hivyo vya usafiri nchini ili kufanya bei zake kuwa nafuu na pia kupanua wigo zaidi wa ajira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif ashauri kamati za misikiti nchini

967

Balozi Seif akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Kiboje Mamboleo mara baada kuufungua msikiti wao wa Ijumaa uliofanyiwa matengenezo makubwa.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).

Mwandishi Wetu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa  nchini kuendelea kuwa imara kwa kutowaruhusu watu wanaopenda kujipenyeza ndani ya kamati hizo kwa nia ya kuanza kutoa madarasa ya uchochezi na kuwagawa waumini kimadhehebu. Alisema...

 

11 years ago

Michuzi

BAJAJ IKIWA IMEKULA NYOMI

Kamera ya Globu ya Jamii,imeinasa Bajaj hii maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa imesheheni abiria kupiga uwezo wake,huku suka wa Bajaj hiyo pia akiwa amekaa kiti kimoja na abiria huku akiwa hana noma wala nini.

 

11 years ago

Habarileo

Madereva wa mabasi, bajaj wasutana

WAMILIKI na madereva wa mabasi ya daladala mkoani Kigoma wamezitaka mamlaka zinazosimamia upangaji njia na vituo vya kushusha abiria kupangia bajaj maeneo yao, maalumu kuondokana na migongano iliyopo sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA yaendesha operesheni kukamata bajaj

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefanya operesheni ya kukamata bajaj  zinazoingia katikakati ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Leseni...

 

9 years ago

TheCitizen

Bajaj eyes 40pc of Tanzanian market

Bajaj Auto Ltd, an Indian two-wheeler and three-wheeler manufacturing company, is targeting to expand its motorcycle market share in Tanzania from the current 22 per cent to 40 per cent come 2017 after introducing a new brand.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAPENDEZESHA BAJAJ JIJINI DAR

Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambuu akimweleza jambo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Global Publishers, Oscar Ndauka (kushoto) wakati  wakikagua mwonekano mpya wa Bajaj za jijini Dar. Dereva wa bajaj akiwa na afisa wa promosheni kutoka gazeti la Championi akiangalia muonekano mpya…

 

11 years ago

GPL

DEREVA BAJAJ AGONGA AKIMBIA, WANANCHI WAMKAMATA

Wasamaria wema na dereva wa daladala (aliyevaa jezi nyekundu)  akimuokoa dereva wa Bajaj kupigwa na wananchi.
Dereva wa Bajaj akiwa ndani ya chombo hicho na askari wa Usalama Barabarani akiwa kwenye eneo la tukio.…

 

10 years ago

GPL

MWENDESHA BAJAJ AJERUHIWA KATIKA AJALI TEGETA

Dereva wa Bajaj iliyogongwa na Coaster eneo la Tegeta jana akiwa na majeraha mkononi. Bajaj ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongwa na Coaster. AJALI hii imetokea jana eneo la Tegeta jijini Dar es Salaam ikilihusisha daladala aina ya Toyota  Coaster lililokuwa likiendeshwa kwa mwendo kasi na kuigonga Bajaj ambapo dereva wa Bajaj na mpiga debe mmoja aliyekuwa eneo hilo wote  walijeruhiwa.… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Kilimanjaro resident wins bajaj in Serengeti draw

Rombo resident, Isaac Edward in Kilimanjaro Region has won a tri-cycle (Bajaj) worth Sh 7 million in the ongoing ‘Tutoke na Serengeti Lucky draw conducted yesterday in the city.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani