Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAJAJ IKIWA IMEKULA NYOMI

Kamera ya Globu ya Jamii,imeinasa Bajaj hii maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa imesheheni abiria kupiga uwezo wake,huku suka wa Bajaj hiyo pia akiwa amekaa kiti kimoja na abiria huku akiwa hana noma wala nini.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukizubaa, imekula kwako

Yanga Simba, Mtibwa Sugar na Azam zinarejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara leo, kesho baada ya kupumzika kwa wiki mbili zikishiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

 

11 years ago

Habarileo

'Wanaonyemelea jimbo langu imekula kwao'

BAADA ya uteuzi wake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amesema wale wanaonyemelea jimbo lake la Mufindi Kaskazini, iwe ni kutoka upinzani au ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekula kwao. Pamoja na kutoa tahadhari kwa wapinzani wake hao, Mgimwa alisema Rais Jakaya Kikwete hakukosea kumteua kushika nafasi hiyo kwa kuwa sifa na uwezo kwa pamoja vyote anavyo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Hawa wakishindwa Tanzania imekula kwetu

KUNA wakati unaona timu imepangwa kuingia uwanjani na unajua kabisa hapa ushindi ni lazima.

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU LE MBEBIZ IMEKULA KIPANDE YAKE

Oya masela inakuwa nini kwa kitaa hiyo? Ni mzuka? Kipande hii ni mpango mzima. Mambo vipi hapo kwa wanangu Wanyalu kwa fasi ya Iringa? Basi barida machalii wangu! Hivi washkaji yale mangawira ya eskro ndo imetoka au? Maana naona mafisadi waliotuhumiwa wanadunda tu kitaa wakati maraia wanasafa kinoma. Ni mwendo wa kuungaunga wakati wao wanapeta mwanzo mwisho. Kama vipi tukomae hadi kieleweke! Wasiporudisha hakyanani neksti...

 

11 years ago

GPL

MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!

WIKI iliyopita nilimalizia makala iliyokuwa inazungumzia mambo ambayo unatakiwa kuyaepuka ndani ya ndoa yako ili kuifanya iwe ya furaha na amani. Wapo ambao waliona ugumu katika kutekeleza baadhi ya mambo. Kwa mfano, kuna ambao walinipigia simu na kuniambia, licha ya kwamba wanajua wake zao hawapendi masuala ya pombe lakini inakuwa vigumu kwao kuacha. Kuna ambao wanajua wake zao hawapendi wao wachelewe kurudi nyumbani lakini wao...

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Nyomi ya matochi

Nimechoka kampeni. Nimechoka vijembe vya wanaojiita majembe huku wakilimana badala ya kuzingatia kilimo cha mahindi. Kumbe kilimo kwanza maana yake ni kutumia kiserema kuwachimbachimba wapinzani wako kwa udaku na uzushi.

 

10 years ago

GPL

UKIJIFOSI KUMPENDA KISA MALI, PESA ZAKE, IMEKULA KWAKO!

Wakati fulani huwa najiuliza kwa nini tunakuwa na wapenzi, kwa nini mapenzi yakawepo? Kwa nini tunaoa ama kuolewa? Kwa nini baadhi ya watu huamua kujinyonga baada ya kuachwa na wapenzi wao? Kwa nini mapenzi yamekuwa sehemu ya maisha yetu? Kwa nini mapenzi yameharibu baadhi ya maisha ya watu? Huwa najiuliza maswali mengi yenye kwa nini, yakihusisha mapenzi. Kwa ujumla kama nilivyo na maswali mengi, majibu pia yamekuwa mengi. Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA APATA NYOMI LA NGUVU LUSHOTO


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahamn Kinana  na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwa pamoja wakiwapungia mkono mamia ya watu waliofurika kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola wilayani Lushoto.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola ambapo aliwasisitiza wananchi hao kushiriki kazi za maendeleo na kujiunga kwa wingi kwenye mfuko wa Afya ya jamii.

Umati wa wakazi wa kata ya Mlola wakimsikiliza Katibu...

 

11 years ago

GPL

NYOMI NDANI YA USIKU WA MATUMAINI 2014

Nyomi iliyokusanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwa ajili ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani