Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawa wakishindwa Tanzania imekula kwetu

KUNA wakati unaona timu imepangwa kuingia uwanjani na unajua kabisa hapa ushindi ni lazima.

Lula wa Ndali Mwananzela

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU

Msimu wa Pili wa Kwetu House Unaendelea washiriki wanaendelea kuchuana vikali ndani ya Nyumba, Vipajivinaonekana na Ushabiki wa Soka wanaonekana pia. Kama unakumbuka Washiriki waliobahatika kuingia kwenye Nyumba walikuwa 30 baada ya Bootcamp kumalizika na Baada ya hapo Washiriki wameendelea kuyaaga mashindano haya kwa msimu huu wa pili na Wiki hii washiriki 18 ndio wamebaki kwenye Nyumba lakini 6 kati ya hao 18 watayaaga mashindano usiku huu. Kocha ananafasi ya kumuokoa Mshiriki Moja kurudi...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukizubaa, imekula kwako

Yanga Simba, Mtibwa Sugar na Azam zinarejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara leo, kesho baada ya kupumzika kwa wiki mbili zikishiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

 

11 years ago

Michuzi

BAJAJ IKIWA IMEKULA NYOMI

Kamera ya Globu ya Jamii,imeinasa Bajaj hii maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa imesheheni abiria kupiga uwezo wake,huku suka wa Bajaj hiyo pia akiwa amekaa kiti kimoja na abiria huku akiwa hana noma wala nini.

 

11 years ago

Habarileo

'Wanaonyemelea jimbo langu imekula kwao'

BAADA ya uteuzi wake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amesema wale wanaonyemelea jimbo lake la Mufindi Kaskazini, iwe ni kutoka upinzani au ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekula kwao. Pamoja na kutoa tahadhari kwa wapinzani wake hao, Mgimwa alisema Rais Jakaya Kikwete hakukosea kumteua kushika nafasi hiyo kwa kuwa sifa na uwezo kwa pamoja vyote anavyo.

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU LE MBEBIZ IMEKULA KIPANDE YAKE

Oya masela inakuwa nini kwa kitaa hiyo? Ni mzuka? Kipande hii ni mpango mzima. Mambo vipi hapo kwa wanangu Wanyalu kwa fasi ya Iringa? Basi barida machalii wangu! Hivi washkaji yale mangawira ya eskro ndo imetoka au? Maana naona mafisadi waliotuhumiwa wanadunda tu kitaa wakati maraia wanasafa kinoma. Ni mwendo wa kuungaunga wakati wao wanapeta mwanzo mwisho. Kama vipi tukomae hadi kieleweke! Wasiporudisha hakyanani neksti...

 

11 years ago

GPL

MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!

WIKI iliyopita nilimalizia makala iliyokuwa inazungumzia mambo ambayo unatakiwa kuyaepuka ndani ya ndoa yako ili kuifanya iwe ya furaha na amani. Wapo ambao waliona ugumu katika kutekeleza baadhi ya mambo. Kwa mfano, kuna ambao walinipigia simu na kuniambia, licha ya kwamba wanajua wake zao hawapendi masuala ya pombe lakini inakuwa vigumu kwao kuacha. Kuna ambao wanajua wake zao hawapendi wao wachelewe kurudi nyumbani lakini wao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani