Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


'Wanaonyemelea jimbo langu imekula kwao'

BAADA ya uteuzi wake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amesema wale wanaonyemelea jimbo lake la Mufindi Kaskazini, iwe ni kutoka upinzani au ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekula kwao. Pamoja na kutoa tahadhari kwa wapinzani wake hao, Mgimwa alisema Rais Jakaya Kikwete hakukosea kumteua kushika nafasi hiyo kwa kuwa sifa na uwezo kwa pamoja vyote anavyo.

habarileo

Read more


Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani