MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!
![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL1taVEa4zHhJsjWuP6v2BikBc7NKrhS*bcVLVnX2nYVQ7Zckirr*rhGKcHEV224SQgnsN8HOyc*JatvGJ2UJrBR/7.jpg?width=650)
WIKI iliyopita nilimalizia makala iliyokuwa inazungumzia mambo ambayo unatakiwa kuyaepuka ndani ya ndoa yako ili kuifanya iwe ya furaha na amani. Wapo ambao waliona ugumu katika kutekeleza baadhi ya mambo. Kwa mfano, kuna ambao walinipigia simu na kuniambia, licha ya kwamba wanajua wake zao hawapendi masuala ya pombe lakini inakuwa vigumu kwao kuacha. Kuna ambao wanajua wake zao hawapendi wao wachelewe kurudi nyumbani lakini wao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ukizubaa, imekula kwako
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhyQIjXJpVOcjkhnHEoLW8KSxxSHRWvmJkxiXRZxEC8AbK1J3dB15wiopkA*93r*IkFmESchXCsr7FegrTqOHU/mahaba.jpg?width=650)
UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0IlYyJFydxYtE0jB3q6lIKNMrYjOswlew7Hk1s6YXgNbIhSvf817rXG0KAEe5thqkQ95kmtCtpxyk4lFFOxS-wZ/7copy.jpg?width=650)
UKIJIFOSI KUMPENDA KISA MALI, PESA ZAKE, IMEKULA KWAKO!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxeEEatAYPsM*Zr07LYSHVsds9VK14Zvwx1qjmkSTyCwU394XLC3Q52Sli-cuJqEcFMYiVrFp7*lRX8sMl-BZ9H2/LOVE3.jpg)
SHOGA; UKISEMWA NA MUMEO USINUNE, ITAKULA KWAKO!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSOfGcZZnkhaZgWry5W1kyZEUS0FRjfW1jnFKo64iPddGdvIhqvUuic1XF-j5rTfx81C4VZDbKr2ev5uyUxI1vw4/EveTorreswwedivas31020883642722.jpg)
SHOGA; USIMKOMOE MUMEO KWA KERO ZA KAZINI KWAKO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmMc-bBP39bfHUWNvqym9Gdluw9erAIjVqA4Mk9sdM4e0bixeg-holHLTYDUcYnFSZAhWfWMr5M-3btpZ5glU7RZ/MariaJoseLopez_1482321a.jpg?width=650)
SHOGA: SI LAZIMA MUMEO AKUANZE KILA MARA MNAPOKUWA FARAGHA!
10 years ago
CloudsFM02 Apr
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja kikaangoni
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema majina ya watu waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika Daftari la Wapigakura, yamekabidhiwa kwa vyombo vya dola ili taratibu za kisheria zifuatwe ikiwamo kuwapeleka mahakamani.
Akizungumza katika kituo cha uchakatuaji (maandalizi) wa vitambulisho vya wapigakura jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Ramadhani Kailima, alisema sheria inawataka watakaotiwa hatihani kutumikia kifungo au kulipa...
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
WHO yataka Sindano itumike mara moja